Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Nikwambie tu Mtoa mada,
Ayo Maneno hujawahi tamkiwa peke yako,

Nishawai tamkiwa Sana hivyo na wife,
Enzi zile ndoa bado changa, tuna Mtoto 1

Kisha kesi ilipofika ukweni
Wakwe zangu wakatamka Tena,
This time ikiwa Ni msisitizo zaidi nimuache
Binti yao mrembo Sn, wakumuoa wengi sn.

Kikichotokea
Niliamua Kama unavyotaka kufanya,
maamuz yang hayakujali Nani ataumia
Nilijikuta nmeumiza Hadi wasiohusika,

Mwisho wa siku
mke na wakwe waliomba msamaha walikurupuka, Na maisha yaliendelea.

Uzi wa icho kisa,
umo humu MMU, nishawai kuuleta

Kaupitie
Unaweza kuokota mawili matatu[emoji1431]
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu,pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara .Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely ,
Nyie mnaoleta visa hivi jeiefu mnaishi wapi? Mbona mitaani hatukutani na hizi cases?
 
Huyo mwache alaf baada ya mda ndo atajua huyo mchepuko wake hawez kumlea kama unavyomlea , piga chini hyo pimbi badae atarud Kwa heshima zote...ukimwacha dharau zitazidi
 
Piga chini huyo mwanamke.

Mwanamke akishaanza ku raise sauti kiasi cha kuanza kutamka hayo maneno kuwa yupo mwingine anayesubiria bahati basi hapo huna lako.

Achana naye
Anajua wanawake ni wengi kuliko wanaume. Kwa vile kakutamkia kuwa kuna mwanaume anamsubiri, mpige chini haraka mwachie anayependa makombo akayatumie.
 
Wala sijakosea mkuu. Kama umesoma vizuri bandiko la jamaa, ni kama anaongea mwenyewe, ila sisi imetokea tu tumemsikia. Haitaji ushauri. Ndio maana nikamwambia kila la kheri
Sio kweli Analyse
Mtoa mada ashauriwe bhana,

Mwandiko wake TU inaonekana kaumia sn
Hii situation ya mtoa mada ishawahi nikuta

Pia huwakuta sn wanandoa wengi
Hasa kipind ndoa ikiwa bado changa ,

Wake zetu husumbua sn, miluzi mingi sn.
Huendeshwa Zaid na hisia kuliko uhalisia
Hajui kipi atamke,kipi asitamke,wakati upi.

Cha kumshaur mtoa mada
Achukue hatua za kinidhamu kukemea isijirudie tn, mkewe anamtikisa kibiriti[emoji4]

SIO KUVUNJA NDOA MOJA KWA MOJA.
 
Sio kweli Analyse
Mtoa mada ashauriwe bhana,

Mwandiko wake TU inaonekana kaumia sn
Hii situation ya mtoa mada ishawahi nikuta

Pia huwakuta sn wanandoa wengi
Hasa kipind ndoa ikiwa bado changa ,

Wake zetu husumbua sn, miluzi mingi sn.
Huendeshwa Zaid na hisia kuliko uhalisia
Hajui kipi atamke,kipi asitamke,wakati upi.

Cha kumshaur mtoa mada
Achukue hatua za kinidhamu kukemea isijirudie tn, mkewe anamtikisa kibiriti[emoji4]

SIO KUVUNJA NDOA MOJA KWA MOJA.
Mkuu, heart wants, what heart wants.

Kumshauri mtu ambae hajawa tayari kushauriwa, ni wastage of time. Kwanza maelezo aliyotoa ni kidogo sana, unaweza hisi mkewe ndio anashida, lakini kumbe jamaa nae anayake.

Utamshauri amvumilie mkewe na amwambie ajirekebishe, lakini kumbe ni yeye ndio anahitaji kuvumiliwa na kijirekebisha.

Maelezo aliyotoa ni kidogo sana, kuweza kumshauri chochote. Ndio maana nimemtakia heri
 
Naomba niseme kitu,

Asilimia kubwa ya wanaomshaur mtoa mada apige chini

Ni singles, hawajawai ishi Kwny ndoa

Walio kwenye ndoa, Iwe ME au KE

situation Kama hizi sio ngeni kabisa kwa ndoa nyingi, hasa uku afrika changanyikeni[emoji4]
 
Back
Top Bottom