DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Sahii kabisa,Mwanamke wako ukimjua raha sana huwezi kupanik
Sahv kuskia nmegombana na wife Ni nadra Sana, huwa navurugana TU na kina mamaJ[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii kabisa,Mwanamke wako ukimjua raha sana huwezi kupanik
Mkuu,Mkuu, heart wants, what heart wants.
Kumshauri mtu ambae hajawa tayari kushauriwa, ni wastage of time. Kwanza maelezo aliyotoa ni kidogo sana, unaweza hisi mkewe ndio anashida, lakini kumbe jamaa nae anayake.
Utamshauri amvumilie mkewe na amwambie ajirekebishe, lakini kumbe ni yeye ndio anahitaji kuvumiliwa na kijirekebisha.
Maelezo aliyotoa ni kidogo sana, kuweza kumshauri chochote. Ndio maana nimemtakia heri
Hamna kitu,Mtego hapo ni
"Ukiniacha kuna wanaosubiri"
NI ngumu kugombana anaweza akakufumania na ukamtuliza😅Sahii kabisa,
Sahv kuskia nmegombana na wife Ni nadra Sana, huwa navurugana TU na kina mamaJ[emoji4]
Mtoa mada bado mchanga sn kindoaAiseeee kuoa sio mchezo jamani. Visababu uchwara utaacha wangapi.
Ukipuuza huo mkwara umehalalisha uhalisia wake iwapo kuna wanaomchombeza. Mwanamke yoyote hakosi wa kumchombeza.Hamna kitu,
Huwa Ni mikwara TU iyo[emoji16]
Sahii kabisa mkuu,NI ngumu kugombana anaweza akakufumania na ukamtuliza[emoji28]
Duuuh are you sure??Tupo pamoja mkuu, hata mie nipo kwenye mchakato wa kumuacha mke wangu pia.. bora tuendelee na maisha yetu ya upweke tu
kweli kabisa, bora tubakie wapweke tu ☹️☹️Duuuh are you sure??
Nooop...hold onkweli kabisa, bora tubakie wapweke tu ☹️☹️
Suluhisho siyo kumwacha, kama ni Muislam ili kupata amani unaoa mke mwengine.Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu,pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara .Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely ,
Yani mimi mwenyewe kwa kinywa changu nilishawah kutamka kua "kama vipi nirudishe kwetu kwani ulinitoa chini ya mti". Mwaka wa buku nakomaa na mume [emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada bado mchanga sn kindoa
Hawajawajua wanawake mnavojichetuaga
Angekutana na mamaJ angeshaua kabisa[emoji28]
🫤🫤 ukiwaza kwa ndanii kabisa ndani kabisa.. inafikia mahala bora uwe lonely tuMapepo ya kataa ndoa yamesambaa yoyote yanaweza kumvaaa
National Anthem
Ili jamaa apate nguvu za kumpiga huo mkwara, lazima awe clean some how. Otherwise atakosa confidence.Mkuu,
Haijalishi jamaa ana kosa au lah
Suala la MKE kutamka vile tayar linamuondolea haki aliyodhani anayo.
Hapa Ni wife kakosea na anapaswa akemewe kwa biti Moja matata San anyooke asirudie Tena[emoji4]
Kweli Aposto...Mkuu, heart wants, what heart wants.
Kumshauri mtu ambae hajawa tayari kushauriwa, ni wastage of time. Kwanza maelezo aliyotoa ni kidogo sana, unaweza hisi mkewe ndio anashida, lakini kumbe jamaa nae anayake.
Utamshauri amvumilie mkewe na amwambie ajirekebishe, lakini kumbe ni yeye ndio anahitaji kuvumiliwa na kijirekebisha.
Maelezo aliyotoa ni kidogo sana, kuweza kumshauri chochote. Ndio maana nimemtakia heri