Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.

Hongera sana mkuu.
 
Refa hutoa njano kwanza kabla ya kumtoa mvhezaji na nyekundu kwa rafu za kawaida. Namaanisha ukiona habadiliki mpe moja ya kwenda kupumzika kwao akijitathmini au mtenge kwa muda umtazame atajua amekosea au la. Ila ukiona bado ni kiburi ndiyo maamuzi magumu yaangaliwe
 
Tatizo hamuuzulii vikao situlikubaliana mwanamke kama uyoo atafutiwe mke mwenza(bi mdogo)?
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
Naona anatest mitambo, ukilegea tu anakudharau.
Kama ulijenga nyumba fukuza, kama mlijenga pamoja gawa nusu Kwa nusu, pita hivi , akikuomba idea ya biashara usimwambie, mpige kwa mikato na ukate mawasiliano.
Ndani ya mwezi mmoja wa talaka anarudi.
Kuhusiana na matumizi gharamia ada za watoto na chakula tu, yeye usimueke kwenye mahesabu, hakuna kununua powder wala Pedi.
Atarudi kwenye akili yake.
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
Kwa jinsi ulivyoandika hapa unaonekana ni mwanaume mwenye hulka ya gubu, mtu wa kulalamika lalamika, usiye na moyo wa shukrani, unataka kila mtu aende unavyotaka wewe akienda tofauti kwako inakusumbua sana. kwa tabia hizo nilizotaja hapo juu sio tu zitakusumbua kuishi na mke wako bali kila mtu anayekuzunguka, ukimwacha huyo mke wako kinachofuata ni kutengwa na wote uliodhani wako pamoja na wewe kumbe sivyo. Bet me if am wrong
 
Kwakwer wanawake ni pasua kichwa sasa uyo anae mdhania ata kama ataacha nae asifikiri ndio ataweza kuishi nae cha zaidi wataachana tu
 
Mnaodai hapo Hakuna kosa acheni kujikuta washauri wa ndoa Dr. Year mwenyewe yamemshinda, jamaa anadai kuna kitu alimuelekeza ila kafanya tofauti mnajua how big it is the damage.
Halafu mwanamke kukujibu dry shit uso mkavu, usije kujipa moyo eti anakurusha roho, dharau kwa mwanamke inachangiwa sana sana nakuonja dyudyu nje kwa hiyo huna mke hapo labda uamue kuwa ndugu mvumilivu.
Msiseme hamna kosa hapo la kuacha mke, kitendo tu cha kuoa mwanamke mpumbavu ni kosa tosha, mbaya Dunia ya sasa wapumbavu ni wengi na kumjua mwerevu ni shughuli.
Mi naona slogan ibaki vilevile
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
huyo ni mkeo wa ndia au hawara?
 
Hiyoo kauli tunaongeaa Sana Jamani...na tupoo kwenye ndoaa😅😅Muishi na sisi kwa akili oooh. Mtaachaa wangapi?...
 
kaka hakuna ktu knauma kama kuumizwa kihisia,unajtoa kwa ajil yake lkn bado haon juhud zako..achana nae tafuta peace of mind na mikakat ya kulea watoto fully stop..yasije yakatokea kama yale ya kung'oana meno..
#usingle raha japo inatake muda kuzoea
 
Back
Top Bottom