Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Hapo lazima Faridi atakuwa anapwaya kwenye nafasi yake ndio maana. Wa kulaumiwa ni Faridi, mbona sisi tunatulizana sana[emoji2369]
Hahahahaha kwahio wa kulaumiwa ni Faridi ambaye kanunua iphone 13 pro max ili akina Feysal wachati na Mawardat bila kikwazo? Hii dhambi itawatafuna mpaka kiyama ndio maana nimekataa kuwa ng’ombe kwenye mahusiano!😂😂😂
 
Ameshakiri kuwa mbunye hajapewa yapata mwezi wa 2 sasa anakula vikumbo tu[emoji28] na amelazwa rumande bila sababu za kueleweka
[emoji3] kuna sababu mke si kichaa, mbona wanaume huwa mnapata shida wake zenu wanavumilia hata mwaka na siri haitoki nje, yeye miezi 2 tu kelele?
 
[emoji3] kuna sababu mke si kichaa, mbona wanaume huwa mnapata shida wake zenu wanavumilia hata mwaka na siri haitoki nje, yeye miezi 2 tu kelele?
Miezi miwili ni sababu mume kafukuzwa kazi hela ya bata hakuna😅 mbona unakaza fuvu ndugu msomaji! Sasa jiulize bwana wako akikosa hela ya anasa ikabaki hela ya matumizi ya muhimu tu je una haki ya kumuanzishia kiburi na kuanza kutafta bahasha nje ya mahusiano yenu?
 
Hahahahaha kwahio wa kulaumiwa ni Faridi ambaye kanunua iphone 13 pro max ili akina Feysal wachati na Mawardat bila kikwazo? Hii dhambi itawatafuna mpaka kiyama ndio maana nimekataa kuwa ng’ombe kwenye mahusiano![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ng'ombe kama ng'ombe!!
Sie hatuna makuu ujue! Tukitulizwa tunatulia tuliiii kazi ni moja tu kuwaheshimu na kuwapenda. Nyie ndio mnavuruga.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa tuseme huyu kaoa au??

Maana haiwezekani mkeo hakushinde utake kuikimbia nyumba!!!
Jamaa ni Rookie 😅 hana uzoefu na mind games za wanawake zetu wa kibongo akina Mawardat. Mie kwangu unatulia fresh na huo ujinga huez fanya sababu lazma ntakuweka katika position yako.
 
Wakizishika huwa wana viburi hatari, wanazitumia hukooo halafu wakiishiwa ndio wanajirudi eti tuwaheshimu!! Malipo ni here here[emoji1787][emoji1787]
 
Njoo unipende basi mama karibu sana[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha wakuvuruge vurugeee kwanza hadi akili akukae sawa ili utakapopedwa utambue kuwa unapendwa wewe kama wewe ila imetokea tu kuwa uko na pesa. Hapo utatuliza akili ili uenjoy mapenzi.
 
Hao ndiio wanawake mwanawane....wao ndalama ikisepa ujue hunathamini kwao tena. Pili next time acha uboya wakugegeda mbususu moja tuu. Unatkiwa kidume una michepuko angalau miwili ndio maisha yanaenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…