Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Muache kupenda hela dada zangu! Pendeni watu kama walivyo ili hata wakifulia iwe rahisi kuvumiliana. Mie naogopa sana wanawake wenye njaanjaa maana maisha hayatabiriki.
Issue sio kupenda swala Ni je unaempenda Yuko tayari kwenda na wewe kwenye hiyo safari?. Mi naona Cha msingi Ni kutumia akili kufanya maamuzi tusikubali kugalagazwa na moyo mpofu.

Ukiitumia akili kila kitu lazma utafanya kwa uangalifu, maana nyie nao mnapendwa mkiwa hamna pesa halafu mkizipata mnatu dump, Sasa hapa kila mtu apende maisha yake Ila tu tuwe na mahusiano yenye heshima, adabu, amani na utii hapo tutafika mbali.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa unataka achat na akina nani?
Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha!
 
Wanawake hawa kila tukiwaambia tumieni akili msitangulize pesa mbele mnatukejeligi!

Mwanamke mpe pesaaa!!! Kmmmmk hii ndio majibu yake, ukitaka kumkeep mwanamke kwa kumpa mpa hela hakikisha una hela kama bahkressa ambazo hazina ukomo. Sio umeajiriwa kwa muhindi unavuta slay queen unapambana umfuge na kumzalisha siku kazi ikiisha anakuua na presha kmmmk!
Sijui wanaume wa hivi wanakuwa ga was3nge? Sorry nimetukana japo ni wanaume wenzetu ila wanatudhalilisha sana. Mtu analipwa 400K kwa mwezi halafu utasikia anasema; tafuta hela upendwe, kila thread utasikia tafuta hela, yanaboa mno haya mas33nge. Ona mpaka nimetukana sasa.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Haa haaa haa utaacha watu washindwe kulala pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikucheza taratiiiibu, eti jamani wasiolewa wakeshe kwa mwamposa na walio olewa nao tukeshe eti waume watulie hiyo haiwezekani kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23] haki nmecheka wee kwahyo tukiolewa tukeshe wapi sasa
 
Hahahahahha mabayaj jamani! Mbona wakiwa na hela mnakuwa hamuwafikrii namna hio aisee...Wakati una download mawigi ya laki 7 kwa jonijo na kuzunguka na crown mafuta full tank kila wakati na mnalala Ramada kila weekend ya mwisho wa mwezi huwa hamuoni kuwa jamaa ni judgemental?

Yani hata akikupiga biti usiongee na simu wakati mpo wote huwa unaitikia yes hubby. Ila siku akifulia tu order anazokupa unahisi kama anakubana na kukunyima uhuru? Muogopeni Mungu aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huna hela unatoaje order jamani? Huo ni ukorofiiiii. Umeamua kulelewa basi tulia ulelewe usitake kuuliza maswali mengi. Heshima comes with power na pesa ni mojawapo.

Tena ukute wakati ukiwa na pesa ndio ulikuwaga na mambo meusi basi hamna rangi utaacha kuona. Maana mkiwaga na pesa mna viburiiiiii, sasa ukijujua una kiburi jitahidi zisikate.
 
Millard ayo choko tu sikuhizi nae naona anapost vitu vya hovyo mno! We bongo hii mwanamke uwe nae mmoja sindio utakuwa kila siku unjaza thread za vilio humu.

Mwanamke ambaye ana appreciate mapenzi ni mwanamke wa kizungu tu nyie waganga njaa lazma tupangane kama foleni ya madumu bombani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usiniambie!!
 
Sijui wanaume wa hivi wanakuwa ga was3nge? Sorry nimetukana japo ni wanaume wenzetu ila wanatudhalilisha sana. Mtu analipwa 400K kwa mwezi halafu utasikia anasema; tafuta hela upendwe, kila thread utasikia tafuta hela, yanaboa mno haya mas33nge. Ona mpaka nimetukana sasa.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mtu anakaza eti anataka kumfuga slay kwini😅 anakopa anamnunulia iphone 12 pro max ili aendane na wakati! Demu anamuona kolo tu mwisho anaanza kupigwa na wahuni ambao hawatoi hata ya pedi
 
Yani inauma sana iphone 12 pro max ulionunua wewe ukiomba demu akutumie picha zake hakutumii ila kuna ndezi ambaye hajui hata bei ya vocha anatumiwa nudes[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asee
 
Haa haaa haa utaacha watu washindwe kulala pressure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikucheza taratiiiibu, eti jamani wasiolewa wakeshe kwa mwamposa na walio olewa nao tukeshe eti waume watulie hiyo haiwezekani kabisa.
Atulie where, which, how[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Wewe kula raha zako taratiiiibu, ukirudi nyumbani unajiimbia tu gospel na kusaidia watoto home work. Wana kamsemo kao kuwa wanatulia wakizeeka, hivyo usijihangaishe hataaa.
 
Hata mie nashangaa inakuwaje mume ukamshindwa mkeo???

Yaani mkeo anakushinda???

Nini maana ya kuwa mwanaume/baba wa family??

Baba si ni nguzo/kichwa cha family inakuwaje uikimbie nyumba yako kisa mke???
Si ndio hapo yaani!! Mambo ya ajabu kabisa haya.
 
Achat na Faridi tu bahasha wake anayempenda kwa dhati! Sasa hapo kademu unakuta kana list, Feysal anaomba game dem kashalegeza...,Arshad nae anagongea mtoko weekend..,Samir nae hayuko mbali kaelewa mzigo anachezea kizinga cha 30K.., hapo list inaendelea af unategemea Farid awe ametulia tu anamskilizia mawardat eti ndio mpenzi wake wa maisha!
Hapo lazima Faridi atakuwa anapwaya kwenye nafasi yake ndio maana. Wa kulaumiwa ni Faridi, mbona sisi tunatulizana sana[emoji2369]
 
Hata mie nashangaa inakuwaje mume ukamshindwa mkeo???

Yaani mkeo anakushinda???

Nini maana ya kuwa mwanaume/baba wa family??

Baba si ni nguzo/kichwa cha family inakuwaje uikimbie nyumba yako kisa mke???
Hahahahahahha kwa muhuni kama mie mke kujaribu huo upuuzi hawezi kamwe sababu anaujua mziki wa Sony Xplod single channel!
 
Hahahahah when i was on my early 20”s i used to love for real mpaka hapo mids nikawa nimejifunza how to be a man to African ladies[emoji28]!
Sahii mie ni mkufunzi!

Mwanamke wa kibongo ambaye hana njaa ya pesa naweza walau nikam trust ila sio Goldiggers ambao wana make 98% ya wanawake wa mjini hapa!
You are the man'n', respect!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom