Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo ni ubakaji na ni kosa kisheria. Tukiwapeleka polisi mseme hatuna huruma wakati mmeyataka wenyewe!! Tatua kwanza huko kununa then mengine yanajipa tu mbona!
Sasa we umenuna bila mpangilio kama furushi la nguo chafu😅 nani ana muda wa kuanza kubembelezana muda wa kulala ukifika. Tanua nikurenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…