Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Sasa we umenuna bila mpangilio kama furushi la nguo chafu[emoji28] nani ana muda wa kuanza kubembelezana muda wa kulala ukifika. Tanua nikurenge
Kurenga kama wale wa kanda maalumu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeishia pale tu ulipo andika kua mke wako kakupeleka POLICE, sijaendelea kusoma tena Kwa sababu huyo siyo mke... Hilo ni gume gume tu la mjini na halifai, achana nalo, mke huvumilia yote na mume huvumilia yote.
 
Mke kuchiti ni hatua mbaya sana yani inaboa kinyama maana hata ule upendo haupo tena unabakia na sonona tu.
Hivi unazani wanawake huwa hawaumii ? Hapana huwa wanavumilia maumivu ndiyo siku yakikusanyika pamoja inakuwa Fukushima lakutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…