Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Wana jamvi salaam,

Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.

Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.

Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.

Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.

Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.

Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Bos ap nikushaur uongee nae inawez ikaw humfikish kunako na inabd uanz kumwandaa kisaikolojia tokea at mchan inawez ikaw kun kit ulimfanyia akaamua kukufanyia ivo
 
Mkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
Yani mwanamke ambaye humtii aje kusema ana mimba? Afungashe virago vyake mapema sana
 
Hapa kuna tatizo la Kisayansi au kisaikolojia.Nakutahadharisha pia kuwa makini na aina ya ushauri utakaotolewa hapa.

Muulize kwa upole sana kwamba inaonekana amepoteza hamu ya tendo.Pili sugest kama inawezekana kwenda kumuona doctor.Ila uwe tayari kisaikolojia kupokea maelezo/majibu yake.

Alternatively badilisheni eneo,labda mtoke out for some few days.

Hili tatizo hutokea na mara nyingi huambatana na sababu hizo mbili kisaikolojia au kisayansi.

Mwisho sikushauri ukimbie tatizo kwa kuchepuka,hiyo option ni hatari zaidi kwako.

Wewe huoni maisha yako yalivyo matamu pale unapoishi bila usumbufu wa michepuko. isipokuwa hilo la kupata tendo la ndoa.ambalo linatatulika.ikiwa ni tatizo ambolo limejitokeza hiv karibuni
Utamaliza pesa na honeymoon zisizo na mwisho! Mwanamke kama hana mpango na wewe kimapenzi sahau hilo! Atafake tu ila atlast lazma ataona kero

Matatizo kisayansi ni hormonal imbalance, la pili psychological effects za mazoea! Inafikia mahali wanachukuliaga poa which is a very bad thing you can do to your partner na always ni endapo mke ataanza kuonja onjwa nje huko!
 
Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia [emoji74]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana jamvi salaam,

Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.

Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.

Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.

Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.

Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.

Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Mchepuko tafuta tu
 
Yes

Wanawake wengi tuko hivo, mi mwenyewe napenda tukifanya leo, tusubirie mpaka at least week mbili ndo tunado

Ya kila siku inatia kichefuchefu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nakusikitikia sana!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakusikitikia sana!
Jisikitie mwenyewe mkuu
 
Dunia ya leo kama mwanandoa hujaridhika sema. Sasa nifikirie hela then nifikirie why hufurahii tendo la ndoa. Sema mume wangu huniandai vizuri au unamaliza mapema au chochote kile ili Iwe rahisi kurekebisha mambo.
 
Back
Top Bottom