kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
siku ukioa utaelewa..
Bos ap nikushaur uongee nae inawez ikaw humfikish kunako na inabd uanz kumwandaa kisaikolojia tokea at mchan inawez ikaw kun kit ulimfanyia akaamua kukufanyia ivoWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
heheheheh..
Huwa nakuelewa sanaHuko kitchen party wawe wanawaambia ukiolewa maana yake ni kulala bila nguo yaani uchi, uchi, ni kazi kazi tu, labda zile siku nne za danger zone.
Yani mwanamke ambaye humtii aje kusema ana mimba? Afungashe virago vyake mapema sanaMkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
Utamaliza pesa na honeymoon zisizo na mwisho! Mwanamke kama hana mpango na wewe kimapenzi sahau hilo! Atafake tu ila atlast lazma ataona keroHapa kuna tatizo la Kisayansi au kisaikolojia.Nakutahadharisha pia kuwa makini na aina ya ushauri utakaotolewa hapa.
Muulize kwa upole sana kwamba inaonekana amepoteza hamu ya tendo.Pili sugest kama inawezekana kwenda kumuona doctor.Ila uwe tayari kisaikolojia kupokea maelezo/majibu yake.
Alternatively badilisheni eneo,labda mtoke out for some few days.
Hili tatizo hutokea na mara nyingi huambatana na sababu hizo mbili kisaikolojia au kisayansi.
Mwisho sikushauri ukimbie tatizo kwa kuchepuka,hiyo option ni hatari zaidi kwako.
Wewe huoni maisha yako yalivyo matamu pale unapoishi bila usumbufu wa michepuko. isipokuwa hilo la kupata tendo la ndoa.ambalo linatatulika.ikiwa ni tatizo ambolo limejitokeza hiv karibuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia [emoji74]
hawa ndo huwa wanaongea wenyewe barabarani..Bado mtoto huyo hawezi kuelewa acha aongee utoto tu
Njoo tuonane mimi na wewe, nakuahidi hutochezea kila siku.Hivi mara 2 or 3 kwa week ni chache mkuu?, hizi ndoa kumbe ni kila siku kuchezea mikuyenge😛 duh🤔
Mchepuko tafuta tuWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Achana na mavitanda ya 6” x 6” mnachengana! Badilisha weka BED ya futi 3 na nusu tu ashindwe kukukimbia!
Mmh tena wewe inaonyesha ni kila saa siyo siku tu😀😀Njoo tuonane mimi na wewe, nakuahidi hutochezea kila siku.
#YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yes
Wanawake wengi tuko hivo, mi mwenyewe napenda tukifanya leo, tusubirie mpaka at least week mbili ndo tunado
Ya kila siku inatia kichefuchefu
Jisikitie mwenyewe mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakusikitikia sana!
Mapenzi ya Tamthiliya hayoBadili mazingira siku nyingine laleni hata hotel
Au msafiri pamoja
Hivi na kumbaka huwezi si mali yako hiyo mkuu