Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Mwaka.... Niliwahi kummuuliza dokta baada ya mke wangu kujifungua kwamba tuingiliane baada ya mda gani.Bora wewe una wiki mwezi haujapewe, wengine tunachezea mwaka Sasa na miezi kisa mtoto!
Ndoa Ni nzuri Sana!
SureOngea naye kwanza kabla hujachukua maamuzi haya hatari..ongea naye kwa utulivu na upendo kisha zijali hisia zake
PointMwaka.... Niliwahi kummuuliza dokta baada ya mke wangu kujifungua kwamba tuingiliane baada ya mda gani.
Dokta akanambia siku 45 tu tunaruhusiwa kuendelea kubanjuana.
Ila pia niliambiwa mwanamke akishazaa hamu ya kufanyana inapungua. Na madawa ya kuzuia mimba yanampunguzia ashki.
nimekuelewa sanaAnakataaje? Uwe unalala uchi mashine uipitishe kwa nyuma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubakaji huoAnakataaje? Uwe unalala uchi mashine uipitishe kwa nyuma
Mrejesho mkuu,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubakaji huo
Wanasema busara ni kushea maarifa. Ngoja tukupe uzoefu wa haya mambo kijana. Embu tafuta kimwana mzuri anayejua mambo huko nje.Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Jitoe ufahamu mpotezee kabisa hata miezi sita usingaike naeWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Huyo mkeo hakupendi na Hana hisia na weweWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »