Kuwa mvumilivuMwalimu wenye ratiba ngumu kweli , private boarding school
Waru waru katika kiwango chako, is mbususu oxygen??We kama huna hela kausha, mbususu utaisikia bombani tu
Haaaahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Dadeeeki sivijui hivoo asee!Vya kuongeza hamu
Vyeupe hivi vinauzwa 2000 wanawake wengi mna matatizo ya nguvu za kike [emoji23][emoji23][emoji23]
Havina side effects kweli?Geah Habib anavitangaza Insta
Nimewasemelea na wengine wanaona aibu kusema[emoji39][emoji39][emoji16][emoji16]Kweli wanaume tumeumbiwa mateso.
Yaani huwezi kutoa hela zako wakati utamu tunapata wote??
C'on young lady [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WittyDadeeeki sivijui hivoo asee!
Banaee mi sio kwamba sina nguvu ila nguvu zinarandana na mahela uwongoo?[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Uzuri sina wivu mimi[emoji848][emoji19]kwa mwezi mara 2 na kwa mwaka mara 24 , hapo inabidi upate msaidizi tu
Haahaa best happy easter[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Witty
Heri ya Pasaka Best.
Same applies to men, kodi ya nyumba, ada za watoto, madeni ya bank, mavazi ya watoto, wakwe, baba na mama, dugu wa pande zote mbili kuwahudumia. Unadhani mwanaume anapata wapi utulivu kama mwanamke naye anataka mtoke kwenda kusex hoteliniNikitoa hela angu nyege zinakata asee, sijui kwanini[emoji848]
HahahahaDadeeeki sivijui hivoo asee!
Banaee mi sio kwamba sina nguvu ila nguvu zinarandana na mahela uwongoo?[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Kaa na mke wako mzungumze pengine kuna shida and she is afraid to open up, mahusiano yenu ya kawaida nje ya kitanda yapoje?Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Huwa anajishughulisha na nini cha kumchosha kiasi hicho?Kila sababu ulichoweka hapo is possible ila sababu kuu « nimechoka »
Adam hakuwa na mke mmoja wewe, tafuta jina la lilith ndo alikuwa mke wa kwanza wa adam
Anakataaje? Uwe unalala uchi mashine uipitishe kwa nyuma
Hivi hata hili linaitaji maelezo?
Ukichukua mlupo ukaenda nalo geto unafanya ngono
Demu wako huyo mnafanya ngono
Tendi la ndoa ni tendo linalohusisha wanandoa walio owana kwa taratibu zote
Hata hao wacheza x kama wameowana basi wanafanya tendo la ndoa but wide[emoji2226]
Ngono ni ngono tu.
Hiyo ya tendo la ndoa ni neno lilopambizwa lionekane km lina maana sana kumbe hakuna lolote.
Tuchukue vyumba viwili tuweke watu walioana na ambao hawajaoana.
Waanze kufanya mapenzi. Hapo utaambie hivyo vitendo vinatofautiana? Ni sawa na maji ya kisimani na ya bombani. Yote ni maji
mwalimu ,ratiba saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioniHuwa anajishughulisha na nini cha kumchosha kiasi hicho?