Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Wanawake wengi wakishaolewa ndo wanakuwa hivyo,sio mkeo tu hata wake zetu wanataka mfanye Mara moja kwa wiki au wiki mbilii

Tena akipata mimba sahau kuhusu sex ataleta visingizio kibao sababu mimba inanyima hisia

MCHEPUKO ni muhimu sana kwa mwanaume rijali na anayejitambua bila hivyo mtaishia kugombana sana na mkeo .

Muhimu tafuta mchepuko anayejua umeoa na anayekuheshimu na una mmudu kwa kila jambo ili asikupelekeshe .
 
Nikitoa hela angu nyege zinakata asee, sijui kwanini[emoji848]
Same applies to men, kodi ya nyumba, ada za watoto, madeni ya bank, mavazi ya watoto, wakwe, baba na mama, dugu wa pande zote mbili kuwahudumia. Unadhani mwanaume anapata wapi utulivu kama mwanamke naye anataka mtoke kwenda kusex hotelini
 
Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.

Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Kaa na mke wako mzungumze pengine kuna shida and she is afraid to open up, mahusiano yenu ya kawaida nje ya kitanda yapoje?
 
Ngono ni ngono tu.
Hiyo ya tendo la ndoa ni neno lilopambizwa lionekane km lina maana sana kumbe hakuna lolote.
Tuchukue vyumba viwili tuweke watu walioana na ambao hawajaoana.
Waanze kufanya mapenzi. Hapo utaambie hivyo vitendo vinatofautiana? Ni sawa na maji ya kisimani na ya bombani. Yote ni maji
Hivi hata hili linaitaji maelezo?
Ukichukua mlupo ukaenda nalo geto unafanya ngono
Demu wako huyo mnafanya ngono
Tendi la ndoa ni tendo linalohusisha wanandoa walio owana kwa taratibu zote
Hata hao wacheza x kama wameowana basi wanafanya tendo la ndoa but wide[emoji2226]
 
Ngono ni ngono tu.
Hiyo ya tendo la ndoa ni neno lilopambizwa lionekane km lina maana sana kumbe hakuna lolote.
Tuchukue vyumba viwili tuweke watu walioana na ambao hawajaoana.
Waanze kufanya mapenzi. Hapo utaambie hivyo vitendo vinatofautiana? Ni sawa na maji ya kisimani na ya bombani. Yote ni maji

Mkuu habari ya pasaka?
 
Back
Top Bottom