Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
- Thread starter
-
- #141
Very happy and friendly, ila ikifika saa 3 usiku ndio namsikia akisema , " baby nimechoka na kichwa kinauma" huyoo anaenda kitandani, hapo najua basi tenaKaa na mke wako mzungumze pengine kuna shida and she is afraid to open up, mahusiano yenu ya kawaida nje ya kitanda yapoje?
Haina upambe mpe namba 😹😹😹Kama hatojali nimuunganishe na Zaina wa Charambe. Mtoto anato.mbana mpk unaona usiku mfupi hachoki na akunyimi ni full mauno ya uzazi mpk uombe poo mwenyewe. Me nilikimbia shoo, ya nini nifie kiunoni
🤣😅😅😅Very happy and friendly, ila ikifika saa 3 usiku ndio namsikia akisema , " baby nimechoka na kichwa kinauma" huyoo anaenda kitandani, hapo najua basi tena
Pole sana, jaribu kuzungumza nae naamini kuna shida ambayo inatatulika ndani ya uwezo wenu, kutafuta mchepuko is not a better optionmwalimu ,ratiba saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni
Hilo ni jukumu lenu liko kwenye bible...so pambana uke mema ya nchi[emoji16][emoji16]Same applies to men, kodi ya nyumba, ada za watoto, madeni ya bank, mavazi ya watoto, wakwe, baba na mama, dugu wa pande zote mbili kuwahudumia. Unadhani mwanaume anapata wapi utulivu kama mwanamke naye anataka mtoke kwenda kusex hotelini
Basi toa 700,000 na mie nitoe 1,300,000 tuimalizie Pasaka wote, Usiku mrefu huu 😋😋Nimewasemelea na wengine wanaona aibu kusema[emoji39][emoji39][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishaacha huko
Wew unataka kuna kila kituHivi telegraph huwa kuna nini
Kama nini ?Wew unataka kuna kila kitu
Kama mahitaji yanayo endana na huu uzi.Kama nini ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama mahitaji yanayo endana na huu uzi.
Hii comment tu stimu zote zimekata[emoji1787][emoji1787]Basi toa 700,000 na mie nitoe 1,300,000 tuimalizie Pasaka wote, Usiku mrefu huu [emoji39][emoji39]
Haaahaaaahaaa [emoji16]Kama mahitaji yanayo endana na huu uzi.
Brother umepata haujapata? Nahangaika sana kutuma pm bila mafanikio...Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »