Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

nguvu za kiume zinakwisha kama mishipa ya uume kila siku inadinda tatizo sisi wanaume tunataka kila siku, come on get a break, hapo unaishi gheto au nyumba chafu yaani wewe na mwanamke wote unakuta mpo shagalabagala nguo moja huku kitu jikoni asee raha ya sex kwa huyo mke inakujaje.

Mkuu vipo vitu vinamvutia mwanamke kwenye sex, tafuteni namna ya kukeep environments fresh and clean sasa kama mtalemewa na uchafu, kila siku ugali kabichi amna mtu atapata desire ya sex, mkuu elewa kuna mwanamke ukido naye anaona kama unamchafua tu wapo wa ivoo wengi.

I met a girl one day akanipongeza sana kuwa ameenjoy na hajawa feeling good before me, nikamwambia why baby, akasema yaan wengine wanamsumbua tu na kumchafua bila reason, since yet the girl finds me on her phone but am busy with the upcoming wife.
Siku ukioa utaelewa..
 
Uzazi wa mpango umeleta mabadiliko ktk miili ya wanawake wengi, life style hasa ya vyakula unakuta mwanamke anakula vyakula vikavu kuanzia asbh mpk usiku utegemee awe na ashki!!

Kwa ujumla nachoelewa hisia za kufanya ngono kwa mwanamke inatokea sehemu nyingi,
Utulivu wa kiakili
Awe na mapenzi na wewe
Vyakula rojorojo
Usafi na mpangilio wa mazingira ya ufanyaji ngono
Majukumu yasiyohitaji nguvu sana za kiakili wala kimwili

Pole mkuu kwa maumivu unayopitia by the way wanawake wengi by nature sex drive iko chini
Kweli mkuu wengi wakishaweka Njia za uzazi wa mpango Hormone zinaanza kuzinguaa.. Yani hata genye zinapunguaa pia Mbususu inakuwa kavu balaa.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mzee swala la michepuko sio la kutafuta huruma za watu ili ulitekeleze .

Wanaume tujifunze kujipenda kwanza sisi ....acheni kuwa watumwa wa kifikra na kuendeshwa na wanawake.

Mwanaume simamia furaha yako ilipo. Haya mambo ya kutangulia kufa kabla ya wanawake ni uboya.

Haiwezekani eti kisa mwanamke hapendi kwa sababu zake au ujinga wake binafsi eti na wewe inakuumiza na kuanza kujiliza Liza.

Mwanaume andaa mtoko alike mke hataki piga chini tafuta papuchi nyingine ya kula nayo Bata huko uendako.

Mwanamke hataki kupika rudi umevimbiwa unabeua tu harufu za minofu na stick mdomoni .

Mwanamke hataki gemu poa wewe ji rudie home tu ushajichakatia kipochi Cha mtu huko vibao vya kutosha ukifika home vuta shuka lala usiwasumbue watu wana mambo mengi wanafikiri[emoji1787][emoji1787]

Mwanaume ishi maisha yako

Sent from my TECNO F2LTE using JamiiForums mobile app
 
Kweli mkuu wengi wakishaweka Njia za uzazi wa mpango Hormone zinaanza kuzinguaa.. Yani hata genye zinapunguaa pia Mbususu inakuwa kavu balaa.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Uzazi wa mpango hasa sindano, vidonge na njiti zinakata kabisa genye mwanamke anaweza gonga hata mwaka asihisi genye
 
usher Smith Shemegi yetu anafanya kazi wapii ,ktk jambo moja linalovunja sex ni machofu ukiwa umechoka hicho kitu kinakutoa nishai sana huna hamu nacho sana so mapunziko ni muhimu ,kwenda kupiga nje hilo ni tatizo jipya unalilianzisha na litakukost kama una uwezo bora uoe halali kuliko kutafuta maradhi na ukiingia huko hutoki tena .
 
Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala) , siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2 , nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu .
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka , ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.

Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Wiki unalalamika. Mm nina mwaka sijamgusa japo alikuwa na mimba ndo katoto kana 6 month. Nje nina mimba inakaribia miezi tisa kasoro mmoja

Na ndo dawa yao hawa viumbe
 
Acheni kuchosha wanaume, daily mna kisa na sababu! Mtu kaacha wanawake woote kakuoa, still kwenye ndoa aendelee kuhangaika daily kutafuta pipi kijiti, chokoleti, sijui magauni hata kama hana hela ili tu apewe papuchi ambayo ameilipia mahali na kuamin angekula had kushiba.

Kwa vile mtu hataka kukupa kei una andaa lak na 70 kumpeleka hotel walau yenye chumba kizuri, mafuta umeweka ya 50,000 vyakula na vinywaji pale ndani 70,000
Just lak 3 imeondoka kwa siku moja kwa kugharamia kei ya mkewe na mkirud nyumban next day anarejea tabia yake.

Mkuu ushauri wangu ni huu


Usitake kumridhisha mwanamke kwa kila atakavyo hutaweza na ni vigeu geu, leo utampa hiki na kile atafurahia sana ipo siku utakuja na hicho hicho ukanuniwa sanaaa.

Pili mwanamke anaeumiza hisia ni yule uliyekuwa unafanya kila atakacho tena muda mwingine zaidi ya uwezo wako, mzaz kijijin umemnyima elf 30 ya shamba ukampa laki mmoja umpendae siku akikuacha utakumbuka matukio kama haya na yanaumizaga mno mno.

La muhimu ishi nao easy not to the maximum.

Toka enzi na enzi za wazee wetu walikuwa na michepuko eti sisi tuliozaliwa juzi tunakuja na ukisasa na kujifanya tunabadili kila tulichokikuta mwisho wa siku tunatembea njian huku tukiongea peke yetu na baadhi kufa mapema sabab ya ndoa.


We live once, ukichagua chungu ujue ndo imetoka tamu unayosubir utaiona huko tunakokufa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3516]
WAKUU!!!

TUONGEE NA MAZA ILI HUYU JAMAA APEWE UKATIBU MKUU WA WIZARA MPYA,
"WIZARA YA MICHONGO YA WANAUME".

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hii pia ni kweli, vizawadi vinaleta stimu sana

Kingine sio kila siku kusex home tu, siku nyingine unafanya vacation, hotel at least hayachoshi

Women are full of suprises
Matumizi hayo. And sometimes tumia hela yako mnatoka kwenda sex tour
 
Kabla haujarudi nyumban jaribu kumchombeza kwa maneno matamu ya kumtia nyege, ukirudi lamza ule mzgo
 
Back
Top Bottom