Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
HahahahahahBrother umepata haujapata? Nahangaika sana kutuma pm bila mafanikio...
That's my bad girl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahBrother umepata haujapata? Nahangaika sana kutuma pm bila mafanikio...
Kwahiyo ndugu wewe ndani ya wiki kufanya siku 5 au 6 huwezi?? Angalau one round of 20 minutes per day huwezi???Kwakweli ni nyingi labda nikiwa na mimba sijui kwakweli!
Mungu anipe mume muelewa tu,tuelewane[emoji23]
Kwa nini hukumuoa huyo sasa ?Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed
Kuna watu wanauza info tena ndg zakoUkiambiwa heshimu ndoa yako mwanaume haimaanishi usipige mechi za nje, piga kwa uangalifu wife asijue.
Wanawake ni viumbe tata sana, ni bora ufanye abavyotaka yeye huku wew ukiwa na suluhu isio na madhara.
NB: Usiache kumpenda mkeo, huyo ni chaguo lako.
Hiyo Chemistry ilikuwepo sababu ulikuwa hujamuoa na kuishi nae ndani kwa muda mrefu trust me kama mngeoana ingekuwa story ileile. Muhimu kaa chini na mwenzako muongee tatizo liko wapi mtatue muendelee kufurahia ndoa yenu. Tatizo letu kubwa we dont talk.Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
sawa na maji ya kisimani na ya bombani. Yote ni maji
Na wewe umefungika mkuu???
inawezekana wana muda kwenye ndoa na hawapati mtoto, mwanamke anapoteza sana hamu ya tendo kwa kesi kama hiziKama hauna mtoto unafanyiwa hivyo siku mkipata mtoto basi utapigwa benchi mwaka mzima.
kwanza kwenye ndoa mna miaka mingapi?Bado bilabila hadi dakika hii mkuu [emoji30]
inawezekana wana muda kwenye ndoa na hawapati mtoto, mwanamke anapoteza sana hamu ya tendo kwa kesi kama hizi
Kwa staili hii kuchepuka lazima.Hii pia ni kweli, vizawadi vinaleta stimu sana
Kingine sio kila siku kusex home tu, siku nyingine unafanya vacation, hotel at least hayachoshi
Women are full of suprises
Hapa kuna tatizo la Kisayansi au kisaikolojia.Nakutahadharisha pia kuwa makini na aina ya ushauri utakaotolewa hapa.Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
Unataka akupe dawa gani tatizo ni mbahili wewe ndio maana ukitoa pesa yako nyege zinakataNdio mkuu
Naomba dawa[emoji848]
tuandamane basi turudishwe kule chini....yaani nakosa utelezi booster imefungiwaKama hatojali nimuunganishe na Zaina wa Charambe. Mtoto anato.mbana mpk unaona usiku mfupi hachoki na akunyimi ni full mauno ya uzazi mpk uombe poo mwenyewe. Me nilikimbia shoo, ya nini nifie kiunoni