sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kama ambavyo mtu utaanza kugundua umekuwa mkubwa pale unapoanza kusalimiwa na vijana wadogo basi ndivyo utavyojigundua kwa mabadiliko ya uwezo wako kwenye shoo.
Hali sio tena kama niliyoizoea, kwa sasa goli la kwanza lori lipo mteremkoni, goli la pili lori lipo tambarare lakini goli la tatu lori linapanda mlima.
Mwisho wa mlima nafika ila nachoma sana mafuta natumia nguvu sana na muda pekee na enjoy ni dakika 2 za mwishoni napokaribia kumaliza, baada ya hapo nipo nyanganyanga na kuhusu goli la nne silijui kabisa imebaki historia.
Wale wenye 33 na kuendelea, hali ni vipi?
Hali sio tena kama niliyoizoea, kwa sasa goli la kwanza lori lipo mteremkoni, goli la pili lori lipo tambarare lakini goli la tatu lori linapanda mlima.
Mwisho wa mlima nafika ila nachoma sana mafuta natumia nguvu sana na muda pekee na enjoy ni dakika 2 za mwishoni napokaribia kumaliza, baada ya hapo nipo nyanganyanga na kuhusu goli la nne silijui kabisa imebaki historia.
Wale wenye 33 na kuendelea, hali ni vipi?