NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna utajiri ni maamuzi tu uamue kutumia au laaah ila utake usitaki brand ya iphone ni yawatu wakati mpaka top richest ndomaana hawana simu ya laki tatu kama samsung , tecno , opp nk kupangiwa ni lazima shekhe kuna magari watu wananunua kwa pesa nyingi sana na wanapangiwa matumizi mfano tu toyota ist unaweka lita moja ya mafuta nagari linatembea vizuri tu ila kuna magari mengi ukiweka hiyo lita moja halitembe kabisa pia kunamagari bila tank ya hewa kujaa halifanyi kazi yoyote na pia kuna magari ya umeme mtupu so kupanga ni kuchangu alafu kiufupu namshukuru mungu nimetembelea masoko mengi tu wengi wanapenda muonekano mzuri wa iphone ila hawapendi kupangiwa so hawa ndowanaolalamika mmoja wapo ni wewe ila tunaopenda kupangiwa wala hatulalamiki tuna raha na iphone zetu bila shida watu wahali ya chini sana ndowanamambo mengi sana kutaka kudownload movies na music ila asilimia watu wakati mpaka jua wao wapo online sana kwakila kitu mfano tu kipindi black berry yupo on top na BLACK BERRY MESSAGE (BBM) ilikuwa raha tena walifanya watumiaji walilidhika bila shida ila waliotamani kutumia ila wakataka ifanane na android ndo wanaoongoza kulalamika kila simu inayoonesha utafauti kiufupi wengine tunataka utafauti kidogo tu hawa EU niamini mimi IOS 17 itabadili kidogo ila haitoweza kuwa huru kama android ilivyo pia utake usitake brand ya iphone ni ya watu wakati mpaka richest tu huko chini hawapo na wanaongoza kulalamika nihao wanaotumia 6,7,8,x,xr,xs,xs max ila ukiwa 14/13 huwezi kumkuta analalamika eti siwezi kudownload nyimbo au movies au app nnje ya appstore [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani ni sawa sawa mtu amiliki TOYOTA L300 alafu alalamike mafuta yanaenda sana haiwezekani inatakiwa iwe inakunywa mafuta sawa na IST [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Android ilivyokuwa inatengenezwa walikupigia simu au walikushirikisha ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Android ilivyokuwa inatengenezwa walikupigia simu au walikushirikisha ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Android user sio peke yangu. Wapo wengi halafu ungeielewa point yangu hata usingeuliza swali la kitoto hivi. Lakini cha msingi niliyemtag alinielewa nilikuwa ninamaanisha nini ndio maana akatoa jibu lenye mantiki hapo juu. Jaribu kusoma jibu la mwenzako hapo juu ujifunze kutoka kwake. Maybe next time hautouliza swali la kitoto kama hilo
 

Samsung gani ya laki tatu??low end zenyewe tu mpya ni laki 550k kuendelea.

Kama hoja ni hiyo hata iphone 6 inauzwa 150k leo hoja ni ipi hapa!!!

Kuna watu mnatumia iphone mnafanya wenye iphones wote waonekane ni vilaza.
 
Samsung gani ya laki tatu??low end zenyewe tu mpya ni laki 550k kuendelea.

Kama hoja ni hiyo hata iphone 6 inauzwa 150k leo hoja ni ipi hapa!!!

Kuna watu mnatumia iphone mnafanya wenye iphones wote waonekane ni vilaza.
Samsung Galaxy A03 Core ya mwaka Jana 2022 ni TSh 240,000/= hadi 270,000/= tena ni bei ya Kariakoo mpya kwenye boksi lake. Samsung Galaxy A03, A03s na A04 ni laki tatu na nusu kwa hapa Bongo. Hizo nazo ni Samsung ila ni lowend
Lakini kuliko nichukue iPhone 6 ni bora nichukue Samsung Galaxy A03 [emoji38][emoji38]
 

Watu wako serious sana na hivi vitu wakati ni passion tu.

Mtu ana iphone xr au 11 anakwambia s22 hakuna kitu[emoji38][emoji38],eti hamna iphone ya laki 3,sijui anamaanisha mpya au anamaanisha iphone???
 
Swali langu liko wazi kabisa , nimeuliza wakati android inatengenezwa au mpango wa kuitengeneza walikushirikisha ? au lets say the next update ya android mmeshirikishwa kwa namna yoyote? kama ni ndiyo naomba kujua mmeweka input gani mtwambie hapa maana umesema wanasikiliza wateja wanakata nini na nyie ndo wateja wenyewe. As simple as that...
 
Ndiyo nilishirikishwa
 
Tatizo la simu nzuri za samsung ni delicacy. Simu ukiweka tu mfukoni na funguo unakuta imevunja kioo. Ilinitokea kwa S8
 
Kwani umelazishwa tumia iphone?

Wa android hawafuati mkumbo bila ku reason?

Ni sawa na kununua ist mwingine kanunua mercedes benz yenye body kam ist unasema ni mkumbo
 
Kama mtu hajui BRAND inajiposition vip kwenye soko ndo utaleta haya mahubiri yenye chuki na wivu wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…