Nafunga hii account yangu, nimekuwa miss kupatwa na penzi

Dah haya maisha ya dunian umuhimu wa mtu utauona akiondoka. Inabid kumuheshimu kila mtu na kumuombea kwa Mungu.

NIMESIKITIKA SANA ILA SINA NAMNA YA KUKUFANYA UBAKI NA HIYO ID.
 
Dah haya maisha ya dunian umuhimu wa mtu utauona akiondoka. Inabid kumuheshimu kila mtu na kumuombea kwa Mungu.

NIMESIKITIKA SANA ILA SINA NAMNA YA KUKUFANYA UBAKI NA HIYO ID.
hii id watu wananizingua wanaona kama natafuta kugegedwa mkuu
 
utanijua tu usijali inaweza kuwa mamaatwiter au mamaainstagram
 
Wanawake wengi wa Dar wanahisi mtandao ndio sehem ya kupata ushauri kumbe ni uongo...na mitandao hii inawaumiza sana kimahusiano...hongera kwa uamuzi mzuri
 
Wanawake wengi wa Dar wanahisi mtandao ndio sehem ya kupata ushauri kumbe ni uongo...na mitandao hii inawaumiza sana kimahusiano...hongera kwa uamuzi mzuri
asante mkuu sasa hivi nimetulizwa
 
 
Top 10 best female jf member,Namba 10 kumi ni miss natafuta unaona jinsi tunavyokupenda.Dont go anywhere stay with us miss natafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…