Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Habari wakuu,
Hivi hapa kutakua na shida gani.
Naenda naambiwa leo fulani hayupo ndio anafanya hiyo kazi.
Sasa imefika muda naanza kubembeleza sasa.
Hivi hapa kutakua na shida gani.
Naenda naambiwa leo fulani hayupo ndio anafanya hiyo kazi.
Sasa imefika muda naanza kubembeleza sasa.