Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Aache ujinga huyu... Hakuna step hizo. Ngo ili ipate fund lazima iwe giant. Na iheshimike au kuwa na CV kama unavyoona kuomba kazi TU. Ngo nyingi kwa sasa zinasota kwa pesa za CSR tu. Wanatumika kama sehem za marketing kwa makampuni mkubwa. Mradi ukute wa public health na CDC au pepfar wameweka hela pale sio kitoto. Sisi tuna miaka 10 sasa mirdi inenda kwa hela za kifungua kinywa tu
Mna miradi mingapi, hivi NGOs hizi none government org si none profitable organization mnanufaika vipi na hizi project na je mnatofauti gani na hivi vikundi vya charity zinazosaka donors pia
 
Nafikiri kwa manufaa ya wengi ndg, ungeeleza hapa namna ya kunufaika na utakuwa unesaidia wengi na kuwawezesha pia kutengeneza ajira kwa wengine, wakati mwingine tufanye mambo kwa maslai mapana ya jamii na siyo kijiangalia tuu sisi wenyewe!
Nikielezea hapa sitomaliza na naogopa kutoa maarifa BURE ambayo watu hawatoyafanyia kazi na ntapoteza nguvu zangu BURE,mtu ambaye yupo tayari anicheck PM ili nimsimamie kuanzia kuanzisha NGO jinsi ya kuisajili,gharama za kuisajili,hatua za kuisajili, documents zinazohitajika,kupata cheti cha taasisi,machimbo ya kuiandikisha taasisi Yako mtandaoni ambayo wazungu au volunteers wataiona na kutafuta Kisha watakuja Tanzania kutembea na kujitolea Kwa ujuzi na Mali kwenye taasisi
 
Advertising first what you real do hakuna hata highlight kwa huduma unayotoa, elezea namna utasaidia kwa mwenye uhitaji, kuweka gharama bila nini unafanya hakileti tija
Nikielezea hapa sitomaliza na naogopa kutoa maarifa BURE ambayo watu hawatoyafanyia kazi na ntapoteza nguvu zangu BURE,mtu ambaye yupo tayari anicheck PM ili nimsimamie kuanzia kuanzisha NGO jinsi ya kuisajili,gharama za kuisajili,hatua za kuisajili, documents zinazohitajika,kupata cheti cha taasisi,machimbo ya kuiandikisha taasisi Yako mtandaoni ambayo wazungu au volunteers wataiona na kutafuta Kisha watakuja Tanzania kutembea na kujitolea Kwa ujuzi na Mali kwenye taasisi
 
Nafikiri kwa manufaa ya wengi ndg, ungeeleza hapa namna ya kunufaika na utakuwa unesaidia wengi na kuwawezesha pia kutengeneza ajira kwa wengine, wakati mwingine tufanye mambo kwa maslai mapana ya jamii na siyo kijiangalia tuu sisi wenyewe!
Adding,
Atoe free basic consultation hapa ili wahitaji wa comprehensive wamfate wamlipe
 
Mna miradi mingapi, hivi NGOs hizi none government org si none profitable organization mnanufaika vipi na hizi project na je mnatofauti gani na hivi vikundi vya charity zinazosaka donors pia
Kuna FBO, Kuna CBOs kuna NGO na Foundation. Pia Kuna IGOs na DoNGOs. Miradi Ina fedha za kuendesha ambzo hulipia zoez zima la uendeshaji. So wafanyakaz mnalipwa kufanya kazi ambaxo NGO haiingiz faida Yani philanthropy. So mnafanya kazi kukuza ustawi wa jamii mana jamii kuipotezq ni dakik tu.

Wagonjwa waache dawa, kina mama wakose huduma Bora, vijana wasiwezeshwe ili tuone jamii hii miaka 7 ijayo itakuaje. So, Ngo inaanda sera na katiba lakini pia inakuwa na strategic plans ambaxo zinaguide mnaenda wapi kwa miaka 5 ijayo.

Hiyo itakuja kuielezea kwamba mnataka kufanya Nini kama operational guides. Hapo ssa ndo mtanza kuandika miradi kuendana na guide au uelekeo wa mpango wenu kwa miaka hiyo mitano.

NGO ni kitivo kikubwa, inawez pia kufanya operations ambaxo ni charities. Lakini pia lazima muwe na mpango husishi Yani partnership. Eidha kwa NGO nyingine au community level ambzo nyingi Huwa ni CBOS na FBOs za kata au Kijiji. Hii inakuza ustawi wa miradi yenu na inahuisha mikakati yenu hata kama hampo ili kuwa endelevu.
 
Mikakati na uhakika. Funders hatoi hela kama haoni uqezekao w kutendewa kazi hela yake. Ngo zenye kupata hela kubwa ni zile presentable. Yani wataalam wapo na wana mikkat na utekelezaji ambao ni genuine.


Hii haima uhusiano na connection Wala kuandika mradi. Mradi kwenye karatas una vitu vingi sanaaa. Il utekelezaji sio mkubwa yan sehem nyingi haxitoi impact kama ilivyoandikwa na kutegemewa.

NGO iliyowahi kufanya mradi uliofanikiwa inadhaminika kiwepes sn na inafadhilika kirahisi tofaut na mpya. Huwez kugombania fund Leo hii na MDH ukapata wewe mana mdh wnaaminiwa tayari.

Ngo Iko nyingi sana . Hat sheta ana ngo inaiwa sawa initiative, flaviana matata foundation na hata smart generation ya Niki wa pili. Angalia saaasa operation zao alaf Rudi hap tuendelee. Kudiskas
Mbona kuna ngos zinakula pesa ndefu sana,wao wanawezaje? na nyingine zinashindwa wapi?
 
Mikakati na uhakika. Funders hatoi hela kama haoni uqezekao w kutendewa kazi hela yake. Ngo zenye kupata hela kubwa ni zile presentable. Yani wataalam wapo na wana mikkat na utekelezaji ambao ni genuine.


Hii haima uhusiano na connection Wala kuandika mradi. Mradi kwenye karatas una vitu vingi sanaaa. Il utekelezaji sio mkubwa yan sehem nyingi haxitoi impact kama ilivyoandikwa na kutegemewa.

NGO iliyowahi kufanya mradi uliofanikiwa inadhaminika kiwepes sn na inafadhilika kirahisi tofaut na mpya. Huwez kugombania fund Leo hii na MDH ukapata wewe mana mdh wnaaminiwa tayari.

Ngo Iko nyingi sana . Hat sheta ana ngo inaiwa sawa initiative, flaviana matata foundation na hata smart generation ya Niki wa pili. Angalia saaasa operation zao alaf Rudi hap tuendelee. Kudiskas

Ukiachana na MDH,THPS na nyinginezo ambazo zinapata ufadhiri katika projects zao,kuna ngos nyingine ni mpya tu hata hazina muda lakini zinawin ufadhili je hizo hufanyeje?ama hitumia mbinu gani na nyingine zina feli wapi?
 
Ukiachana na MDH,THPS na nyinginezo ambazo zinapata ufadhiri katika projects zao,kuna ngos nyingine ni mpya tu hata hazina muda lakini zinawin ufadhili je hizo hufanyeje?ama hitumia mbinu gani na nyingine zina feli wapi?

[emoji15][emoji15][emoji15]Hpo sasa
 
Mikakati na uhakika. Funders hatoi hela kama haoni uqezekao w kutendewa kazi hela yake. Ngo zenye kupata hela kubwa ni zile presentable. Yani wataalam wapo na wana mikkat na utekelezaji ambao ni genuine.


Hii haima uhusiano na connection Wala kuandika mradi. Mradi kwenye karatas una vitu vingi sanaaa. Il utekelezaji sio mkubwa yan sehem nyingi haxitoi impact kama ilivyoandikwa na kutegemewa.

NGO iliyowahi kufanya mradi uliofanikiwa inadhaminika kiwepes sn na inafadhilika kirahisi tofaut na mpya. Huwez kugombania fund Leo hii na MDH ukapata wewe mana mdh wnaaminiwa tayari.

Ngo Iko nyingi sana . Hat sheta ana ngo inaiwa sawa initiative, flaviana matata foundation na hata smart generation ya Niki wa pili. Angalia saaasa operation zao alaf Rudi hap tuendelee. Kudiskas

mmh kweli,
 
Mikakati na uhakika. Funders hatoi hela kama haoni uqezekao w kutendewa kazi hela yake. Ngo zenye kupata hela kubwa ni zile presentable. Yani wataalam wapo na wana mikkat na utekelezaji ambao ni genuine.


Hii haima uhusiano na connection Wala kuandika mradi. Mradi kwenye karatas una vitu vingi sanaaa. Il utekelezaji sio mkubwa yan sehem nyingi haxitoi impact kama ilivyoandikwa na kutegemewa.

NGO iliyowahi kufanya mradi uliofanikiwa inadhaminika kiwepes sn na inafadhilika kirahisi tofaut na mpya. Huwez kugombania fund Leo hii na MDH ukapata wewe mana mdh wnaaminiwa tayari.

Ngo Iko nyingi sana . Hat sheta ana ngo inaiwa sawa initiative, flaviana matata foundation na hata smart generation ya Niki wa pili. Angalia saaasa operation zao alaf Rudi hap tuendelee. Kudiskas

mkuu mbona kuku PM n ngumu
 
Kuna FBO, Kuna CBOs kuna NGO na Foundation. Pia Kuna IGOs na DoNGOs. Miradi Ina fedha za kuendesha ambzo hulipia zoez zima la uendeshaji. So wafanyakaz mnalipwa kufanya kazi ambaxo NGO haiingiz faida Yani philanthropy. So mnafanya kazi kukuza ustawi wa jamii mana jamii kuipotezq ni dakik tu.

Wagonjwa waache dawa, kina mama wakose huduma Bora, vijana wasiwezeshwe ili tuone jamii hii miaka 7 ijayo itakuaje. So, Ngo inaanda sera na katiba lakini pia inakuwa na strategic plans ambaxo zinaguide mnaenda wapi kwa miaka 5 ijayo.

Hiyo itakuja kuielezea kwamba mnataka kufanya Nini kama operational guides. Hapo ssa ndo mtanza kuandika miradi kuendana na guide au uelekeo wa mpango wenu kwa miaka hiyo mitano.

NGO ni kitivo kikubwa, inawez pia kufanya operations ambaxo ni charities. Lakini pia lazima muwe na mpango husishi Yani partnership. Eidha kwa NGO nyingine au community level ambzo nyingi Huwa ni CBOS na FBOs za kata au Kijiji. Hii inakuza ustawi wa miradi yenu na inahuisha mikakati yenu hata kama hampo ili kuwa endelevu.

Mkuu umetoa shule moja imenifungua sana kweli knowledge is power ubarikiwe sana,
 
Kuna FBO, Kuna CBOs kuna NGO na Foundation. Pia Kuna IGOs na DoNGOs. Miradi Ina fedha za kuendesha ambzo hulipia zoez zima la uendeshaji. So wafanyakaz mnalipwa kufanya kazi ambaxo NGO haiingiz faida Yani philanthropy. So mnafanya kazi kukuza ustawi wa jamii mana jamii kuipotezq ni dakik tu.

Wagonjwa waache dawa, kina mama wakose huduma Bora, vijana wasiwezeshwe ili tuone jamii hii miaka 7 ijayo itakuaje. So, Ngo inaanda sera na katiba lakini pia inakuwa na strategic plans ambaxo zinaguide mnaenda wapi kwa miaka 5 ijayo.

Hiyo itakuja kuielezea kwamba mnataka kufanya Nini kama operational guides. Hapo ssa ndo mtanza kuandika miradi kuendana na guide au uelekeo wa mpango wenu kwa miaka hiyo mitano.

NGO ni kitivo kikubwa, inawez pia kufanya operations ambaxo ni charities. Lakini pia lazima muwe na mpango husishi Yani partnership. Eidha kwa NGO nyingine au community level ambzo nyingi Huwa ni CBOS na FBOs za kata au Kijiji. Hii inakuza ustawi wa miradi yenu na inahuisha mikakati yenu hata kama hampo ili kuwa endelevu.

Mkuu uko vizuri
 
Aache ujinga huyu... Hakuna step hizo. Ngo ili ipate fund lazima iwe giant. Na iheshimike au kuwa na CV kama unavyoona kuomba kazi TU. Ngo nyingi kwa sasa zinasota kwa pesa za CSR tu. Wanatumika kama sehem za marketing kwa makampuni mkubwa. Mradi ukute wa public health na CDC au pepfar wameweka hela pale sio kitoto. Sisi tuna miaka 10 sasa mirdi inenda kwa hela za kifungua kinywa tu
Well said mkuu umemaliza kila kitu atapigwa tu hapate hasara asipoangalia
 
Ukiachana na MDH,THPS na nyinginezo ambazo zinapata ufadhiri katika projects zao,kuna ngos nyingine ni mpya tu hata hazina muda lakini zinawin ufadhili je hizo hufanyeje?ama hitumia mbinu gani na nyingine zina feli wapi?
Ukizichinguza nyingi zinazowin ni bunifu au zimewekeza kwenye experts. Wamechukua watu wazuri mnoo na wemye uzoef wa miradi so wanaju wanaingia wapi na kutokea wapi.
Jakaya foundation umeiona ile safu yake?. Angalia ndani ya ile component structure ilivyo. Kuna moja ni young than us lakin mwaka huu imekula 1B. S

Ubunifu unalipa sana mana Ngos zinaendeshaga miradi ambayo ni duplicated
 
Aache ujinga huyu... Hakuna step hizo. Ngo ili ipate fund lazima iwe giant. Na iheshimike au kuwa na CV kama unavyoona kuomba kazi TU. Ngo nyingi kwa sasa zinasota kwa pesa zmbona a CSR tu. Wanatumika kama sehem za marketing kwa makampuni mkubwa. Mradi ukute wa public health na CDC au pepfar wameweka hela pale sio kitoto. Sisi tuna miaka 10 sasa mirdi inenda kwa hela za kifungua kinywa tu
Huuzi tena midabwada😁mbona umeandika kama MD?
 
Nikielezea hapa sitomaliza na naogopa kutoa maarifa BURE ambayo watu hawatoyafanyia kazi na ntapoteza nguvu zangu BURE,mtu ambaye yupo tayari anicheck PM ili nimsimamie kuanzia kuanzisha NGO jinsi ya kuisajili,gharama za kuisajili,hatua za kuisajili, documents zinazohitajika,kupata cheti cha taasisi,machimbo ya kuiandikisha taasisi Yako mtandaoni ambayo wazungu au volunteers wataiona na kutafuta Kisha watakuja Tanzania kutembea na kujitolea Kwa ujuzi na Mali kwenye taasisi
Hapo unaposema hawatoyafanyia kazi ume generalized watu wote. Unajua hata darasani wakati inaachwa kwazi sio watu wote huwa hawana muda nayo, wakwanza darasani huwa ni kawaida yake kuongeza maarifa katika kila kazi iyachwayo na malimu. Kama uko willing mwanga mpunga hapa kwa faida ya leo na kizazi kijacho kitakachosoma hii comment yako
 
Back
Top Bottom