Kwenye kuunda NGO kuna kama vitu 3 .
1. Project proposal yenyewe.
2. Process za usajili wa NGO.
3. Ku get funds
1.Project proposal yenyewe .
Jitahidi kuwa specific kwenye topic, focus on problems and it's solutions.
Mfano:
1.Nishati mbadala
Unakuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha Wanyama, ambapo process ya kutengeneza mkaa ni nafuu na salama kiafya na mazingira,pia bei yake ni nafuu ukilinganisha na mkaa wa kawaida katika ujazo sawa.
1.Panya road.
Unaangalia tatizo ni Nini,
utoro mashuleni,
Shule kutokuwa na mazingira mazuri ya kufundishia,
familia kushindwa kufuatilia maendeleo ya watoto Wao,
utumiaji wa madawa ya kulevya mashuleni.
mmomonyoko wa maadili Katika jamii.
ndoa AU familia kuvunjika
sabàbu bado zikaendelea etc.
Lakin wewe utafanya analysis yako kuangalia sababu 1,2,3 zisiwe nyingi ( coz , , gharama zitakuwa kubwa) ambazo utakazo kuja na suluhisho lake.
1. utoro mashuleni
2. utumiaji wa madawa ya kulevya mashuleni,
Lakin pia unaweza ukadili ña #2 Tu coz #1. Inasababishwa na #2. asilimia Zaidi ya 90% ya panya road wanatumia drugs.
so #2. Ndio inakuwa scope yako ya project.
Kwa wale walisoma degree kuandika project proposal watakuwa wanakumbuka.
NGO haina tofauti na project proposal
ukifanya hivi itakusaidia wewe kuendesha NGO coz bado wewe ni mchanga, nahata ukihitaji funds inakuwa rahisi coz mission yako ni 1 target only.
lazima Uwe na knowledge ya computer, words, excel, power point, access, outlook, E-mail,zoom. Cloud Drive.
Jitahidi ujue English vizur.
Uwe na laptop na internet ya kasi na uwakika pindi utakapohitajika kufanya mawasiliano.
jitahidi kuwa smart kuanzia kufikiri mpaka muonekano wako.