Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Kwenye kuunda NGO kuna kama vitu 3 .
1. Project proposal yenyewe.
2. Process za usajili wa NGO.
3. Ku get funds

1.Project proposal yenyewe .

Jitahidi kuwa specific kwenye topic, focus on problems and it's solutions.

Mfano:
1.Nishati mbadala
Unakuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha Wanyama, ambapo process ya kutengeneza mkaa ni nafuu na salama kiafya na mazingira,pia bei yake ni nafuu ukilinganisha na mkaa wa kawaida katika ujazo sawa.

1.Panya road.
Unaangalia tatizo ni Nini,
utoro mashuleni,
Shule kutokuwa na mazingira mazuri ya kufundishia,
familia kushindwa kufuatilia maendeleo ya watoto Wao,
utumiaji wa madawa ya kulevya mashuleni.
mmomonyoko wa maadili Katika jamii.
ndoa AU familia kuvunjika
sabàbu bado zikaendelea etc.

Lakin wewe utafanya analysis yako kuangalia sababu 1,2,3 zisiwe nyingi ( coz , , gharama zitakuwa kubwa) ambazo utakazo kuja na suluhisho lake.

1. utoro mashuleni
2. utumiaji wa madawa ya kulevya mashuleni,

Lakin pia unaweza ukadili ña #2 Tu coz #1. Inasababishwa na #2. asilimia Zaidi ya 90% ya panya road wanatumia drugs.

so #2. Ndio inakuwa scope yako ya project.

Kwa wale walisoma degree kuandika project proposal watakuwa wanakumbuka.
NGO haina tofauti na project proposal

ukifanya hivi itakusaidia wewe kuendesha NGO coz bado wewe ni mchanga, nahata ukihitaji funds inakuwa rahisi coz mission yako ni 1 target only.

lazima Uwe na knowledge ya computer, words, excel, power point, access, outlook, E-mail,zoom. Cloud Drive.

Jitahidi ujue English vizur.

Uwe na laptop na internet ya kasi na uwakika pindi utakapohitajika kufanya mawasiliano.

jitahidi kuwa smart kuanzia kufikiri mpaka muonekano wako.
Hili mm nilimaliza chuo nikawa nalo. Umeongea 0.1% tu ya knowledge inayotakiwa hapa. Project inaanzia suluhu kwemda kwenye tatizo. Sio kutoka tatizo kuangalia sabab na kulitafuta suluhu.

Kama una NGO Kuna Taasisi mbili lazima ukae nazo karibu.. moja kati ya taasis hizo ni poRALG hata kama miradi yako ni ya afya. Kama NGO yako ina misheni na afya ya jamii utakuwa chini ya MOH lakin utahitaji pia kufanya Kaz na poRALG.

Ukishasajili Taasisi, makaratas yote yapo na katiba ipo. Utahitaji kuwa na CV/ profile... Huko utaanisha unatumia mikakati Gani katika muhimili wako. Taasisi zote Huwa zinatumia Human centered design,na nyinginengingine kama financing approach.

Ukishamaweka hizo lazima ukae chini ujue nani ana misheni kama yako kwa graundi ili usipite nyuma yake. Hapo unajitofautisha na wengine kwanza. Ili uweze kuibgia kwenye ecology ya mikakati jumuishi ngaz ya kitaifa
 
Hili mm nilimaliza chuo nikawa nalo. Umeongea 0.1% tu ya knowledge inayotakiwa hapa. Project inaanzia suluhu kwemda kwenye tatizo. Sio kutoka tatizo kuangalia sabab na kulitafuta suluhu.

Kama una NGO Kuna Taasisi mbili lazima ukae nazo karibu.. moja kati ya taasis hizo ni poRALG hata kama miradi yako ni ya afya. Kama NGO yako ina misheni na afya ya jamii utakuwa chini ya MOH lakin utahitaji pia kufanya Kaz na poRALG.

Ukishasajili Taasisi, makaratas yote yapo na katiba ipo. Utahitaji kuwa na CV/ profile... Huko utaanisha unatumia mikakati Gani katika muhimili wako. Taasisi zote Huwa zinatumia Human centered design,na nyinginengingine kama financing approach.

Ukishamaweka hizo lazima ukae chini ujue nani ana misheni kama yako kwa graundi ili usipite nyuma yake. Hapo unajitofautisha na wengine kwanza. Ili uweze kuibgia kwenye ecology ya mikakati jumuishi ngaz ya kitaifa

Kwamba tunaanzia solution kwenda kwenye problem?umenipa kitu.
 
Hili mm nilimaliza chuo nikawa nalo. Umeongea 0.1% tu ya knowledge inayotakiwa hapa. Project inaanzia suluhu kwemda kwenye tatizo. Sio kutoka tatizo kuangalia sabab na kulitafuta suluhu.

Kama una NGO Kuna Taasisi mbili lazima ukae nazo karibu.. moja kati ya taasis hizo ni poRALG hata kama miradi yako ni ya afya. Kama NGO yako ina misheni na afya ya jamii utakuwa chini ya MOH lakin utahitaji pia kufanya Kaz na poRALG.

Ukishasajili Taasisi, makaratas yote yapo na katiba ipo. Utahitaji kuwa na CV/ profile... Huko utaanisha unatumia mikakati Gani katika muhimili wako. Taasisi zote Huwa zinatumia Human centered design,na nyinginengingine kama financing approach.

Ukishamaweka hizo lazima ukae chini ujue nani ana misheni kama yako kwa graundi ili usipite nyuma yake. Hapo unajitofautisha na wengine kwanza. Ili uweze kuibgia kwenye ecology ya mikakati jumuishi ngaz ya kitaifa
Okay dakitari, ukipata Muda shusha nondo humu
 
Kwamba tunaanzia solution kwenda kwenye problem?umenipa kitu.
Mradi ni imaginary certain initiative. Umeiona miradi ya Binti kigoda, mwanamke na maendeleo, Binti jasiri?. Imagine ukatili anaofanyia Binti mtaani unakoishi.... Imajin unasbabishwa na mpango wa jamii... Na nafas ya mwanamke!.

Suluhu ni kumfanya kuwa Jasiri ili akatae au adai haki regardless nani kamfanyia. Wengine wanaamin ukatili wa mwanamke unaletwa na nafas yake kiuvhumi Yani hana kazi, hata akipigwa hawez kuondoka. Wanampa mtaji na elimu ya ujasiriamali..

Very short ni kwamba projekt ni imagery plan, inaenda kutekekezwa ili itatue tatizo Fulani. So mnaanza na suluhu kwenda kulipiga tatizo. Na jamii ni composition yenye mgando wa vitu vingi, huwez kutibu afya kama afya ya jamii.. lazima uangalie uchumi, siasa au tamaduni za watu wa hapo zikoje. Nadhani Kuna haja ya kuandaa thread ya kuzubgunzia masuala na matatizo ya kijamii
 
Ut
Nataka kufanya festival kubwa,una utaalamu na Hilo nikutafutie hiyo laki mkuu?

Nataka kufanya festival kubwa,una utaalamu na Hilo nikutafutie hiyo laki mkuu?

Nataka kufanya festival kubwa,una utaalamu na Hilo nikutafutie hiyo laki mkuu?
Festival Uongo ntakudanganya ila kuanzisha taasisi ambayo wazungu na watu kutoka nje ndo watakuwa wageni wako daily ndo naweza kukufanyia
 
Back
Top Bottom