Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Maa shaa Allah
Umeshampata nipo hapa
 
Wanawake wengi waliokeketwa huwa hawana amani na hawajiamini!! Usije kuwa mmoja wao .
 
Unajikakamua unadhani hata mkali unakuta ni scraper moja tulivu tu
 
Utapambana na mtu asiye na jinsia
 

Kama wewe ni bikra ni pm.
 
Dini imetutenganisha
 
Tukwambie ukweli ama tukuache kwanza umalize shule?[emoji23]

We unasoma alaf unatafuta mume mwenye kazi? We kwanini usitafute msomi mwenzio au ndo unataka kitonga[emoji1787][emoji1787]
 
 

Attachments

  • VID-20211104-WA0014.mp4
    13.2 MB
Umempata au bado mm nimechelewa kuona alafu ninavigezo vyote
 
Swali je wewe ni Bikra . Hutaki sex mpaka ndoa
 
Baada ya kuchoka kudanga. Sema kama ni bikra uniinbox lakini kama sio hata usije
 
Kama na wewe bado uko bikra upo sahihi, ila kama bikra uliuza kwa sahani cha chipsi hakuna mwanaume yupo tayari kuuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…