Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
KawaidaDah!!!, Aiseee wewe ni kifaa.Hongera kwa kuumbika vizuri.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KawaidaDah!!!, Aiseee wewe ni kifaa.Hongera kwa kuumbika vizuri.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Mnh....
Ngoja nikauze viwanja vyangu then nianze mchakato wa kukutafuta, labda na Mimi nitapata bahati ya kumiliki pisi kali.Mnh....
Kwa ME, sex ni hitaji la msingi..Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
NimeshamilikiwaNgoja nikauze viwanja vyangu then nianze mchakato wa kukutafuta, labda na Mimi nitapata bahati ya kumiliki pisi kali.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hawezi kujibu maana atakuwa ameshaUnsubscribe na kutoa notifications za huu uzi. Maana hapa ni kupeana presha sio kutafuta mume[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ngoja nitafute alipojibu hili swali
Acha mambo ayo tangu lini mwanamke akatafuta mwanaumeVp miaka 35 naruhusiwa kufanya application!?
Amesema hataki sex so urefu wa uume hawezi kuongeleaAwe na uume urefu wa inchi ngapi please.
Huko ni kupoteza mudaC kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipo
Acha mambo ayo tangu lini mwanamke akatafuta mwanaume
Hilo sio tatizo, kizuri huwa kinaliwa na wengi.Kwani anayekumiliki alikuumba alah!!![emoji2957][emoji2957]Nimeshamilikiwa
Ishu ni kwamba watu hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia.kwa uelewa wangu hajasema anataka mwanaume ambae hajawahi sex bali ambae hatomuomba sex mpk ndoa,,ndoa Ni Jambo la kheri na yeye kaona lianze kwa kheri sio na dhambi ya uzinzi,,kwa nn kumuuliza Kama Ni bikra Kwan yeye kataka mwanaume bikra,,,hata kama hana hiyo bikra ndio iwe sbb ya yeye kuendelea na uzinifu hamjui Kuna kuomba toba,,je Kama Ni dhambi aliyokwisha tubia,,na pia Kuna sbb nyinginezo ambazo zinaweza kua sbb Hana bikra ukiacha kuonjwaonjwa,,mmekazana mwanaume wa hivo hayupo kuhalalisha uzinifu,,,mnajifanya mna akili kuliko aliyewaumba akakataza uzinifu angeona Kuna ulazima wa kuonjana kabla angeruhusu. Ni uzinzi na ushetani ndo umewatawala. Kama hujapata utapata kipenzi wanaume wenye hofu ya Mungu wapo usishawishiwe na wafuasi wa shetani kazi yao kumrahisishia shetani kazi yake, wote Kati yao hamna muoaji hapo. Mungu anakupa wa kufanana nae,,wazinzi kwa wazinzi wenzao,,washirikina kwa washirikina wenzao,,wacha Mungu kwa wacha Mungu wenzao..