42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Hata mimi natafuta kama huyo asiyeomba hela.Nayeye akuombi hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi natafuta kama huyo asiyeomba hela.Nayeye akuombi hela
Hujawahi kukwanguliwa!! Maana isije kua kuna baaria alikula tunda hajakuoa halamu mimi muoaji ndo nisubiri hadi ndoa!!.
Mtu mpaka akipost hvyo jua hajaonjwa huyo kuwa na aman
..finding a needle in a haystack....
We utakuwa na tatizo unaficha. Unataka kumuuzia mkaka wa watu mbuzi kwenye gunia, ajikute ndani ya ndoa na tatizo lako asikuache!! Watu walaghai kama ww hawafanikiwi!!Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Binti anaonekana yupo vizuri sana, kiakili, kimwili, kiimani mpaka sura na anajiamini mno. Laiti angepatikana mtu aliye serious ingekua bahati kwake... Mtazamo wangu[emoji4]Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
nayeye asiombe hela mpaka ndoaKila laheri mdogowangu. Apo kwenyi sex kuwa na mcmamo huohuo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Huo ni ushamba, kufanya sex mpaka kwenye ndoa kwani wewe hujatobolewa,