Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

kama na wewe huombi pesa hadi ndoa ngoja nisogee pm
 
Mwanangu soma kwanza upate elimu! Ukianza mahusiano mapema unaweza ukaharibikiwa mapema.
Bado wewe ni kijana mdogo mno.
Kwa nyakati tulizonazo ELIMU KWANZA MME BAADAYE!
 
ww ndo umeanzisha habar za ndoa af unataka anaekuja kukuoa ndo awe na kazi ilitakiwa hyo kaz uwe nayo ww kwnza maan ww ndo unashida ya kuolew
 
Shikilia hapo hapo. Usilegeze.
Parachichi lililokatwa sample halinunuliwi.

Tumechika kukuta vitu Used.
Tununue nguo Used
Gari tunanunua Used

Na mke!!! Aaa No No Nooo
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
We utakuwa na tatizo unaficha. Unataka kumuuzia mkaka wa watu mbuzi kwenye gunia, ajikute ndani ya ndoa na tatizo lako asikuache!! Watu walaghai kama ww hawafanikiwi!!
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.

Kwa bongo wachache sana utawapata wenye ivyo vigezo.

Swali!!!! Kwanini useme "ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo"????? Ndiomana mnapigwagwa na kufukuzwa juu. Omba mwanamume mwema mwenye heri na wewe ata kama ameishia la 7 na anakazi, na co lazima amefika chuo.

Wasichana wa chuo mnatabu mnooo,,,na ndiyomana wengiwao hawaja2ria na wengine hupigwa mimba vyuoni.
 
hivi unaweza kununua simu dukani ukatestie nyumbani inakuwa ngumu kidogo japo inawezekana,
ukikuta haingizi moto charging system mbovu utamlaumu nani
ok nawewe usiniombe hela mpaka tuoane powaaa mimi niko tayari
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Binti anaonekana yupo vizuri sana, kiakili, kimwili, kiimani mpaka sura na anajiamini mno. Laiti angepatikana mtu aliye serious ingekua bahati kwake... Mtazamo wangu[emoji4]
 
Back
Top Bottom