Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Utaambiwa na ww usiombe hela kabla ya ndoa........hahahahahah,
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Yeye asiombe sex ila wewe umuombe hela? Serious

Mzani haujabalance aiseee.


Anyway. I think its okay kama wewe utakuwa bikra. Ila kama ulishaonjwa hicho kigezo kifute tu as hakimake sense.
 
Hujawahi kukwanguliwa!! Maana isije kua kuna baaria alikula tunda hajakuoa halamu mimi muoaji ndo nisubiri hadi ndoa!!.
 
Awe na mahusiano na wewe lakini asiombe sex!
Hayo mahusiano yatakuwa ya kibiashara au 😄😄
 
😂😂😂😂😂
Hii ni ndoto dada yangu, anyways bk bado ipo nijitoe muhanga?
 
Kuna Jamaa yangu, kilimkuta kisa kama hichi,.........mtoto asema ni bikra hataki kuguswa kabisa, haya tuka hudhuria nikhaa.. yani harusi ya kiislam, baadae jamaa alitoa talaka bila kumaliza wiki, kumuuliza kulikoni, jamaa anambia loooh hilo shimo nililokutana nalo siamini.....nimeingia na sifiki mwisho!!!!!nilimcheka sana!
 
nippo tayari Kyushu nawe nina miaka 21 ila jealous swala la dini nitabadili biweekly muislamu
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
 
nippo tayari Kyushu nawe nina miaka 21 ila jealous swala la dini nitabadili biweekly muislamu
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
 
Back
Top Bottom