Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Ngoja, ukifika miaka 35 bila kuolewa, utajutia hiki ulichokiandika leo
Maybe anadhan age kama yake wote walikuwa hawana wenza labda
Ila walichagua sana mpka leo hii wako single
Me huwa msema kweli hata kama itanikosesha Mwanamke but nitaongea ukweli.

Age yake ni 21 tu bado mdog sana..yaan ana safar nzuri tu ya kumpata mwanaume ambae hata hana kazi na kuyajenga
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Mbona simpo tu.
Je wewe utakuwa tayari kuwa naye BILA KUOMBA PESA? Mjinga wewe. Unadhani ni boya gani atakubali kukugharamia halafu kitumbua umekikalia ti au unawapa wengine? Hayupo wa hivyo. Labda uumbe wa kwako. Jiongeze vinginevyo utazeekea kwenu!!

Au una ulemavu wa viungo vya siri, unataka kumuuzia mtoto wa watu mbuzi kwenye gunia! Hahahahaha......
 
Mbona simpo tu.
Je wewe utakuwa tayari kuwa naye BILA KUOMBA PESA? Mjinga wewe. Unadhani ni boya gani atakubali kukugharamia halafu kitumbua umekikalia ti au unawapa wengine? Hayupo wa hivyo. Labda uumbe wa kwako. Jiongeze vinginevyo utazeekea kwenu!!

Au una ulemavu wa viungo vya siri, unataka kumuuzia mtoto wa watu mbuzi kwenye gunia! Hahahahaha......
Atoe tumbua tule
 
IMG_4804.jpg

Kama uko serious inawezekana.
 
Mimi nipo tayari vigezo vyote nnavyo ila kwenye kazi sijaajiriwa, niliajiliwa zamani kwasasa nimejiajili mwenyew

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Sikiliza mdogo wangu unayoyataka Ni sahihi ila wakati au MUDA wa hayo unsyoyahitaji sio SAHIHI

21 yrs Tena upo chuo ,kwanini usivumilie utamatishe masomo Kwanza haya Mambo yapo TU utayakuta na utayachoka

Ukijchanganya ikajileta njemba ukaipokea itajifanya fala kukubali matakwa yako lakini kwa nguvu ya msdawa ya usingizi UTALIWA ksbla ya ndos

KUWA MAKINI!!
 
Nahitaji connect za daw za usingz za kunusa , kuna mtu kanisumbua sanaaa
Sikiliza mdogo wangu unayoyataka Ni sahihi ila wakati au MUDA wa hayo unsyoyahitaji sio SAHIHI

21 yrs Tena upo chuo ,kwanini usivumilie utamatishe masomo Kwanza haya Mambo yapo TU utayakuta na utayachoka

Ukijchanganya ikajileta njemba ukaipokea itajifanya fala kukubali matakwa yako lakini kwa nguvu ya msdawa ya usingizi UTALIWA ksbla ya ndos

KUWA MAKINI!!
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Mimi hapa karibu pm
 
Back
Top Bottom