Nagharamikia video ni aibu kwa tasnia ya mziki

Nagharamikia video ni aibu kwa tasnia ya mziki

haters, wamekalia majungu tuu, kwenye pongezi panahitaji pongezi tuu.
tena mnavyozidi kumdiss hvyo ndo mnazidi kumfanya azidi kutoa vitu bora zaid:evil: :evil: :evil:
 
Ndo maana ukuwahi ona naisemea mbovu chekecha video
Tatizo sio kuisemea mbovu,wapi ulipokiri kuikubali?
Huu ndio unafiki ninaosemaga,mtu unakubali audio/video lakini unachokisema huku ni tofauti.
 
Tatizo sio kuisemea mbovu,wapi ulipokiri kuikubali?
Huu ndio unafiki ninaosemaga,mtu unakubali audio/video lakini unachokisema huku ni tofauti.

Mmmmmhh leo umekaa vibaya:sly::sly:😀
 
Kale ka msemo ka benadi Paulo kanafanya kazi yake kideo kizuri ila sio sana , ingekua kwa mashabiki wake wale wachache wa awali swadakta haina tabu ila hili group la wema linalomshabikia nahakika wamekua disappointed kiasi Fulani (as always)
#overrated
 
Hebu ngoja niwawekeni sawa ni hivi,video ni mbaya sana kwa kuangalia ngoma zilizopo sasa, ila ni nzuri kutokana na video zake za nyuma na hali yake ya kifedha.
 
Kama vidio mbaya mbaya tu! na mavi huwezi ita pilau eti kisa yana harufu.
 
Ningekushangaa sana kama ugeiponda hii video,ningekuwa na mashaka na ukaskazini wako maana kule hatunaga mamburula.
Uko smart bro.

Kwa kiwango cha alikiba wa sasa ile video ndo hadhi yake ila kwa kiwango kile cha alikiba wa oneeight hii bado sana
 
Ningekushangaa sana kama ugeiponda hii video,ningekuwa na mashaka na ukaskazini wako maana kule hatunaga mamburula.
Uko smart bro.

Niliangalia pia na Video ya Dimondii... Aisee zile Subtitles ni vichekesho teh teh teh
 
Ndo tatizo la kuwa overrated ilo
Msanii yeyote anasiwa audio sio video kama ingekuwa wanaangalia video ndo ubora wa msanii basi kina wizkid sautisol wasingesikika ndo maana domo kuimba hajui anapumulia video za godfather
Sasa kazi ya director mnampa sifa domo et video zake mzuri duu nyie kweli vilaza
 
kedrick ukiendelea na huu upuuzi wako utapakwa mafuta ya nazi nyuma
 
Last edited by a moderator:
Naona upande wa 2 kwa jirani povu limewaanza, washasahau ile kaswida yao hahahaha chezea kingCoke kingkiba wewe
Ukiona msanii wanamsifia video huyo ni garasa kwani si hata ntampata wapi walisifia hivihivi mwisho wa siku ikavunda
 
Nagharamikia ndo imepotea #utanipenda haijatolewa kwny media inapoteaje masikioni acha unafiki kesho radio na tv zote duniani zinaizindua #utanipenda
Ule mdundiko haufiki hata airport si utaona mwenyewe tatizo mnatetea ujinga mnampa kichwa video kuimba hajui na kajishtukia maana hajiamini hata nasema nawe pia alifanya hivi hivi baadae ikabuma
 
Back
Top Bottom