Nahisi amenicheat au mimi ndio mchepuko

Kubaaababaaa labakeeee nasemahivi kimbiaaa man......toka nduki mzeiya.Zundukaaa.
 
mkuu umeliwa! subiri kulea mtoto asiye wako
 
Zamani nilikuwa nawalaumu sana wanaume ambao wanachapa na kutembea,nilikuwa naona wanawaumiza wanawake bure tu.
 
"When a woman goes from hot to cold and back again, this IS the message – she’s got buyer’s remorse, you’re not her first priority, she’s deliberating between you and what she perceives is a better prospect." - Rational Male
 
Ahahahaha kwamba mwamba analeta uzungu
 
Mwanamke haujamtoa bikra unadhani uko peke yako? Unapomtongoza yeye hakuwa na mpenzi alikuwa anakusubili ww 2 umtoe maugwadu? kabla ya kuingia kwny mahusiano lazima ujiandae kisaikolojia kukutana na mauza uza kama haya,so hapo inategemeana na ww kama umempenda as wife material lazima umbadilishe mdogo mdogo yawezekana nmnaviziana 2 cz hats wao hawatuamini wanaume moja kwa moja wanahisi unapita so lazima uvumilivu uhusike,ukimuacha unaenda kwa mwingn nae tabia ni hizo hizo labd utafute bikra mmoja au uumbe wako
 
Kwa Mwanaume ukishahisi kuwa hili koloni sipo peke yangu Hama, Jitoe, acha Kabisa, Mapema iwezekanavyo.... Kinachofuata Ni Kuumia. Labda Kama Ni chai umeamua kutunywesha.
Katika usimuliaji wake sioni Kama hii ni chai bali ni kweli kabisa. It's easy to judge when a person has never experienced the same situation.
Maamuzi ya mapema huwa hayaumizi, achelewe baadae aumie zaidi.
 

Huyo ni malaya tu broo..hiko ni kama kisa changu mimi..tukio lako kama linanikumbusha langu tu,halitofautiani chochote..ipo siku utafumania live pia kama ilivyotokea kwangu..mungu hamfichi mwanamke muongo..kwan wao hawakuumbiwa kua na wanaume zaidi ya mmoja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…