Nahisi amenicheat au mimi ndio mchepuko

Nahisi amenicheat au mimi ndio mchepuko

POINTI MUHIMU.

1)."Akasema huyu ni jamaa ambaye hajawai muona ila yupo mkoa X,na kwamba amaenza kumsumbua tokea mwaka jana mwezi wa 9".

2)."Akajibu kwamba hao ni marafiki tu nisiwe na wasi wasi".

3)."Alianza kulia na kuomba msamaha".

MAELEZO KWA KINA .

1).Kauli hii huwa wanatumia wanawake/wasichana kujitetea wanapoona wamehisiwa kwamba wanachepuka , kitaalamu hapo anakuandalia vitu hivi viwili na muhimu ili aweze kukutuliza.

a).Kukuaminisha kwamba yeye anajiheshimu hii itakufanya utengeneze uaminifu kwake.

b).Kukuaminisha kwamba yeye si muongo hata kidogo.

Sasa kosa kubwa ni wewe kumuamini je? Utamkamata vipi ili kuvunja hizo pointi hapo juu?
Ni rahisi muulize swali dogo tu "Kwanini ulii save namba yake? Halafu mkazie macho akiwa anajibu.

2).Kwa kauli hii ya pili ni kwamba hao ni watu wake na hapo anajaribu kukuondoa kwenye pointi muhimu yaani anafanya kama hapo namba 1 kipengele (a) kwenye maelezo yangu.

Kwanini nakuambia anakudanganya? Kwanza hakunaga urafiki kati ya mwanamke na mwanaume .

3).Hii kitaalamu inaitwa "Reverse psychology" unaweza kuifuatilia kabisa kwenye vyanzo mbali mbali ila kwa kifupi ni pale ambapo unamtengenezea mtu mazingira ya yeye kufanya kitu kinyume na kile alichoamrishwa ila ikiwa hasa hicho alichofanya ndo kusudio kamili.

Mfano ni pale mwanamke/ msichana anapojua kabisa amefanya kosa ika sasa ili usianze kumfokea labda kwa hasira au hata kuachana kama ni wapenzi anaanza kulia huku akisema kwamba humpendi hii itakutengenezea huruma na pia utajikuta unajiona wewe ndo mwenye kosa na kumuomba msamaha , ni technique kubwa ambayo wanaitumia wanawake kupata wanachokitaka .

Sasa kama umeshaona hivyo cha kufanya ni kujiuliza maswali haya kabla ya kufanya maamuzi .

1).je? Unampenda kweli na una malengo naye?
2).Je? Uwepo wake una athari kubwa kwako yaaani mfano ukamuacha je? Itakuathiri vipi wewe ?
3).je? Una mbadala wake?

Sasa kama utaona ana impact ndogo kwako na hauna malengo naye basi muweke huru tu aendelee nao.

Au unaweza kufanya love revenge ambayo ina psychological impact yaani ukajifanya umesahau kisha ukazidisha mapenzi halafu mwisho ukamtambulisha kwa mwenzake yeye akiwa kama x girlfriend(powerful revenge).

Au unaweza pia kumshusha cheo akawa wa kupiga tu, na ili ukae sawa inakubidi ukubali kuwa haupo mwenyewe na yeye ana watu wengi tu so na ww ni wakupita.

Ni ushauri tu mkuu unaweza kuufuata au kuuacha .

[emoji111]

Bonge la ushauri
 
Muda wa kuchati na marafiki zake unatakiwa uwe saa ngapi?
 
Huwa nasema kila mda, simu ni privacy ya mtu, hairuhusiwi mtu mwingne kushika. Haijalishi mna uhusiano gan. Kila mtu awe buzzy na cm yake. Huku mahusiano yakiendelea.
Poleeh sana
Kwa wenye ndoa hakuna usiri wowote labda kama unazungumzia wasera hata kwa wachummba walioserous huo usiri haufai
 
Mshushe gredi awe wa kipumnzikia tu Ila bila yeye kujijua
 
Mwanamke haujamtoa bikra unadhani uko peke yako? Unapomtongoza yeye hakuwa na mpenzi alikuwa anakusubili ww 2 umtoe maugwadu? kabla ya kuingia kwny mahusiano lazima ujiandae kisaikolojia kukutana na mauza uza kama haya,so hapo inategemeana na ww kama umempenda as wife material lazima umbadilishe mdogo mdogo yawezekana nmnaviziana 2 cz hats wao hawatuamini wanaume moja kwa moja wanahisi unapita so lazima uvumilivu uhusike,ukimuacha unaenda kwa mwingn nae tabia ni hizo hizo labd utafute bikra mmoja au uumbe wako
Mkuu ,nathubutu kusema ww ni great thinker...[emoji817]
 
POINTI MUHIMU.

1)."Akasema huyu ni jamaa ambaye hajawai muona ila yupo mkoa X,na kwamba amaenza kumsumbua tokea mwaka jana mwezi wa 9".

2)."Akajibu kwamba hao ni marafiki tu nisiwe na wasi wasi".

3)."Alianza kulia na kuomba msamaha".

MAELEZO KWA KINA .

1).Kauli hii huwa wanatumia wanawake/wasichana kujitetea wanapoona wamehisiwa kwamba wanachepuka , kitaalamu hapo anakuandalia vitu hivi viwili na muhimu ili aweze kukutuliza.

a).Kukuaminisha kwamba yeye anajiheshimu hii itakufanya utengeneze uaminifu kwake.

b).Kukuaminisha kwamba yeye si muongo hata kidogo.

Sasa kosa kubwa ni wewe kumuamini je? Utamkamata vipi ili kuvunja hizo pointi hapo juu?
Ni rahisi muulize swali dogo tu "Kwanini ulii save namba yake? Halafu mkazie macho akiwa anajibu.

2).Kwa kauli hii ya pili ni kwamba hao ni watu wake na hapo anajaribu kukuondoa kwenye pointi muhimu yaani anafanya kama hapo namba 1 kipengele (a) kwenye maelezo yangu.

Kwanini nakuambia anakudanganya? Kwanza hakunaga urafiki kati ya mwanamke na mwanaume .

3).Hii kitaalamu inaitwa "Reverse psychology" unaweza kuifuatilia kabisa kwenye vyanzo mbali mbali ila kwa kifupi ni pale ambapo unamtengenezea mtu mazingira ya yeye kufanya kitu kinyume na kile alichoamrishwa ila ikiwa hasa hicho alichofanya ndo kusudio kamili.

Mfano ni pale mwanamke/ msichana anapojua kabisa amefanya kosa ika sasa ili usianze kumfokea labda kwa hasira au hata kuachana kama ni wapenzi anaanza kulia huku akisema kwamba humpendi hii itakutengenezea huruma na pia utajikuta unajiona wewe ndo mwenye kosa na kumuomba msamaha , ni technique kubwa ambayo wanaitumia wanawake kupata wanachokitaka .

Sasa kama umeshaona hivyo cha kufanya ni kujiuliza maswali haya kabla ya kufanya maamuzi .

1).je? Unampenda kweli na una malengo naye?
2).Je? Uwepo wake una athari kubwa kwako yaaani mfano ukamuacha je? Itakuathiri vipi wewe ?
3).je? Una mbadala wake?

Sasa kama utaona ana impact ndogo kwako na hauna malengo naye basi muweke huru tu aendelee nao.

Au unaweza kufanya love revenge ambayo ina psychological impact yaani ukajifanya umesahau kisha ukazidisha mapenzi halafu mwisho ukamtambulisha kwa mwenzake yeye akiwa kama x girlfriend(powerful revenge).

Au unaweza pia kumshusha cheo akawa wa kupiga tu, na ili ukae sawa inakubidi ukubali kuwa haupo mwenyewe na yeye ana watu wengi tu so na ww ni wakupita.

Ni ushauri tu mkuu unaweza kuufuata au kuuacha .

Yenyewe hii mkuu... Umemaliza
 
Ilikua hivi

Ni usiku wa jana majira ya saa 5 usiku hivi, niko na mpenzi wangu,alikuja ninapokaa akidai leo ana leo amemic tu kulala na mimi.

Sasa wakati huo yeye akiwa amejilaza kitandani wakati mimi nikiendelea kumalizia shughuli zangu kwenye PC.

Mara simu yake ikaita, hilo jina kuna namna fulani hivi alikua amesave, hali iliyonipa uwalakini kidogo. Lakini mara hii ya kwanza sikupokea, huyo mtu akapiga tena, nikasema labda atakuwa ni mtu muhimu so acha nipokee nimsikilize, lakini nilipopokea kwa jinsi yule alivyoanza kuzungumza nikagundua tu kwamba hapa huyu wala sio ndugu yake labda atakua ni msela ambae tunashare penzi.

Sasa mimi nilipogundua hivo na kutokana nilitaka kujua hasa yeye ni nani, ikabidi nianze kumsikiliza.

Nilipopokea akasema namuomba mwenye simu, mimi nikamuuliza kwani wewe ni nani? Maana hii simu nimeiokota

Akajibu mimi ni rafiki yake, nikasema urafiki ndio upige simu mda huu, ikabidi tu nimchane live, nikamuambia "acha kumsumbua huyu binti kwani ana mpenzi wake"

Jamaa akapanic kwa hasira akisema "huyo binti namfahamu kabla yako, alafu kuwa makini maana haujui ni nani unaongea nae, maana nikiamua kukutafuta hata leo ninakupata na nitakufundisha adabu"

Mimi nikamjibu "nakusubiri ufanye unachofanya kama wewe kidume"

Baada ya hapo sikuendelea kuongea na ile simu.

Ikabidi nimuamshe huyu bidada, nikamuuliza huyu anaepiga simu ni nani?

Akaanza kusema punguza hasira nikuambie, nikamumbie nakupa dakika 2 za kuniambia huyu ni nani au uondoke zako
"akasema huyu ni jamaa ambaye hajawai muona ila yupo mkoa X,na kwamba amaenza kumsumbua tokea mwaka jana mwezi wa 9"

Na baada ya hapo kukaingia tena text za wanaume wawili(2),nikamuuliza na hawa ni kina nani akajibu ni marafiki zangu, nikamuuliza ndio wanataka wachat na wewe usiku huu?
Akajibu kwamba hao ni marafiki tu nisiwe na wasi wasi

Na kwa kuwa penzi letu halina muda mrefu sana, huyu bidada alikua hatakagi nishike simu yake, lakini yangu huwa anashika akikuta text ya msichana lazima aulize huyu ni nan, na mimi bila hiyana huwa namjibu kabisa lakini yeye huwa ni mzito sana.

Ilibidi nimjibu tu kwamba kama unaona hawa ambao wanakutafuta muda huu ni wa muhimu endelea kuwa nao.
Alianza kulia na kuomba msamaha, lakini bado sijatoa maamuzi maana hata msg zake sijibu wala kupokea simu mpaka muda huu.

Sasa wakuu, ingekua ni wewe ungefanya uamuzi gani?
wanawake nao wanatafuta greem pastures...ukiwa fresh maisha yanaenda na ukitsngaza ndoa ndio kabisa.

Huwa hawa watupi watu wa zamani?ukizingua anarudi kwa mtu wake wa zamani...nao wanamega kisela,mtu umekuta mkubwa unafikiri hana mtu...ili amuache inategemea nguvu yako haswa pesa...upendo, ahadi za uchumba na ndoa...!!

Usifikiri wale mademu wanaoliwa kimasihara hawana watu....!!

Kama unampenda jipange...we sio wa kwanza kwake!!!
 
Mtu wala si mkeo ila unataka kugombana na wanaume wengine kisa yeye. Ushawahi kuwaangalia Mbwa wakitaka kumpanda jike wanavyoleteana noma?
 
Ilikua hivi

Ni usiku wa jana majira ya saa 5 usiku hivi, niko na mpenzi wangu,alikuja ninapokaa akidai leo ana leo amemic tu kulala na mimi.

Sasa wakati huo yeye akiwa amejilaza kitandani wakati mimi nikiendelea kumalizia shughuli zangu kwenye PC.

Mara simu yake ikaita, hilo jina kuna namna fulani hivi alikua amesave, hali iliyonipa uwalakini kidogo. Lakini mara hii ya kwanza sikupokea, huyo mtu akapiga tena, nikasema labda atakuwa ni mtu muhimu so acha nipokee nimsikilize, lakini nilipopokea kwa jinsi yule alivyoanza kuzungumza nikagundua tu kwamba hapa huyu wala sio ndugu yake labda atakua ni msela ambae tunashare penzi.

Sasa mimi nilipogundua hivo na kutokana nilitaka kujua hasa yeye ni nani, ikabidi nianze kumsikiliza.

Nilipopokea akasema namuomba mwenye simu, mimi nikamuuliza kwani wewe ni nani? Maana hii simu nimeiokota

Akajibu mimi ni rafiki yake, nikasema urafiki ndio upige simu mda huu, ikabidi tu nimchane live, nikamuambia "acha kumsumbua huyu binti kwani ana mpenzi wake"

Jamaa akapanic kwa hasira akisema "huyo binti namfahamu kabla yako, alafu kuwa makini maana haujui ni nani unaongea nae, maana nikiamua kukutafuta hata leo ninakupata na nitakufundisha adabu"

Mimi nikamjibu "nakusubiri ufanye unachofanya kama wewe kidume"

Baada ya hapo sikuendelea kuongea na ile simu.

Ikabidi nimuamshe huyu bidada, nikamuuliza huyu anaepiga simu ni nani?

Akaanza kusema punguza hasira nikuambie, nikamumbie nakupa dakika 2 za kuniambia huyu ni nani au uondoke zako
"akasema huyu ni jamaa ambaye hajawai muona ila yupo mkoa X,na kwamba amaenza kumsumbua tokea mwaka jana mwezi wa 9"

Na baada ya hapo kukaingia tena text za wanaume wawili(2),nikamuuliza na hawa ni kina nani akajibu ni marafiki zangu, nikamuuliza ndio wanataka wachat na wewe usiku huu?
Akajibu kwamba hao ni marafiki tu nisiwe na wasi wasi

Na kwa kuwa penzi letu halina muda mrefu sana, huyu bidada alikua hatakagi nishike simu yake, lakini yangu huwa anashika akikuta text ya msichana lazima aulize huyu ni nan, na mimi bila hiyana huwa namjibu kabisa lakini yeye huwa ni mzito sana.

Ilibidi nimjibu tu kwamba kama unaona hawa ambao wanakutafuta muda huu ni wa muhimu endelea kuwa nao.
Alianza kulia na kuomba msamaha, lakini bado sijatoa maamuzi maana hata msg zake sijibu wala kupokea simu mpaka muda huu.

Sasa wakuu, ingekua ni wewe ungefanya uamuzi gani?
Papuchi haisusiwi mzee
 
Kwanini kumekua na nyuzi nyingi sana za kimapenzi zikilaumu wakina dada... Ina maana sisi wanaume ni wakamilifu sana [emoji2955]
 
Hali ni ngumu sana kiuchumi haiwezekani umiliki mwanamke peke yako, ni lazima tuishi kiujamaaa
 
Kiongozi hao ndio wako ivyo hata kwa ss ni hayo hayo tu. Ww piga spana tu
 
Back
Top Bottom