Nahisi amenicheat au mimi ndio mchepuko

Na ikiwezekana hata kwa Mpalange unaenda
 
Cku ukiacha kujihusisha na wanawake wakiTZ utafika Mbali Sana Mkuu
 
Huwa nasema kila mda, simu ni privacy ya mtu, hairuhusiwi mtu mwingne kushika. Haijalishi mna uhusiano gan. Kila mtu awe buzzy na cm yake. Huku mahusiano yakiendelea.
Poleeh sana
Mkuu, kweli umpendae huwezi shika simu yake? Na ukiona Me au Ke hataki kugusa simu yake hapo hakuna usalama vinginevyo uwe umehiari kuwa wengi.
 
Mimi siwezi pokea na kuanza rumbana na mtu kisa Gf ambaye wala si mke wangu wala mchumba. Hivi nguvu za kupokea simu za mademu zenu mnazipataga wapi?
Kama vipi we fanya kumpiga chini tu picha umeona au unasubiri mpaka movie kabisa
 
Buroo hiyo umepanda daladala ila konda
kakwambia umekodi uko pekeeako 😆😆 stuka!!!!!!!!!!!
 
Mimi siwezi pokea na kuanza rumbana na mtu kisa Gf ambaye wala si mke wangu wala mchumba. Hivi nguvu za kupokea simu za mademu zenu mnazipataga wapi?
Kama vipi we fanya kumpiga chini tu picha umeona au unasubiri mpaka movie kabisa
Girlfriend kwani siyo mchumba??
 
Huyo ndugu na kajala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…