Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Daah yawezekana ukawa utoto piaa au nyege tu nizidishe maombi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Asante kwa kujijibua ni kweli huo ni utoto na kukosa kutafakari Maisha na kusudi la Maisha kwa ujumla

Maisha is more than sex na tamaa za miili yetu,mkiwa kama vijana wadogo ambaoo bado hata Maisha hamjayatengeneza jaribuni kudhibiti tamaa zenu na kujitahidi kuishi kwa akili ya kufikiria wakati wako ujao Zaidi kuliko kujikita katika kufikiria Faiza za leo tu

kila la kheri kijana
 
Natabiri utakuja filisi ilo duka kwa kuendekeza pisi kali kijana..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Kuachiwa duka wiki tu ushaanza na kuonga duuu,,,,, shikamoo wahindi ....
 
kwa story hyo inaonyesha ww ndio unamtaka kimapenzi
Hapana unajua uwanaume una mambo mengi hafau ukiwa kama lijali lazima ukiona pisi nzuri iko karibu ufikilie kitu hii pisi mimi hua siendi kwao kabisaaaaaaaaaaaaaaaa lakin yeye hachoki kuja na cha kushangaza akimkuta maza anabadili maada sasa anaogopa nini kusema kilichomleta kama hana lengo
 
Asante sana namimi nilitambua kuleta maada kama hii hapa nitapata matusi ya kila aina lakin lengo nijue na nilikua tayari kukosolewa kwaio nimejifunza
 
Najua unataka tuhalalishe ili siku za mwisho ujitete tulikuunga mkono wanazooni wa jf
[emoji1787][emoji1787]hapana kaka haya mambo yakikukuta ndio utajua hujui.....mi sijui na shida gani na wanawake
 
Ondoka huko dilena Rudi dukani

Penzi kitovu Cha uzembe

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…