Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Nyie acheni tu najua haya yanawapata wengi tu hahahhahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125] mi nimejitia kama mfano
 
Wewe ndiye unaemmendea nduguyo.Uandishi wako tu
 
Duuuuh mazeee si kamekuja kengine tena sahiiiiii kakali kuliko huyu cousin afu sasa haka ni katoto ka cousin sasaaaaa[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Hii furaha uliyonayo ungeing'ang'ania....ukimtia mimba utakuja tena huku.Kichwa cha chini ni kigeugeu sana
 
We dada wewe nisamehe [emoji3064][emoji125]
Sure am telling u,hata ukimwi ndo ivoivo...umepata mtu moyo unasita kusex nae bila ndom kichwa cha chini kinagoma kinataka kikaone live kizazi kilivyoumbwa.Ndugu yanguu! Baadae ndo utasikia afu moyo uligoma kabisa yaan.LATE!!!
 
Sure am telling u,hata ukimwi ndo ivoivo...umepata mtu moyo unasita kusex nae bila ndom kichwa cha chini kinagoma kinataka kikaone live kizazi kilivyoumbwa.Ndugu yanguu! Baadae ndo utasikia afu moyo uligoma kabisa yaan.LATE!!!
We dada uje PM uni dm namba yako ya whatsaap mimi kijana damu inachemka nimeandika hapa natambua wazi nitakua criticized so nataka kukuuliza vitu vingi zaidi whatsaaap
 
Dogo, inaelekea una genye la kufa mtu, and soon unaenda kufilisi duka.
We dada uje PM uni dm namba yako ya whatsaap mimi kijana damu inachemka nimeandika hapa natambua wazi nitakua criticized so nataka kukuuliza vitu vingi zaidi whatsaaap
 
Dogo, inaelekea una genye la kufa mtu, and soon unaenda kufilisi duka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]genye la hatariiiiii mwanangu
 
Kwa huu uandishi wako ni Dhahiri kabisa kuwa bado u mchanga sana kiumri na kiakili

Sasa naomba nichukue tu fursa hii kukumbusha(labda umesahau au hujui) kuwa maandiko matakatifu yanakataza kabisa kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi baina ya ndugu lakini pia

Kisheria ni kosa la jinai kutoka kimapenzi na ndugu yako

Hivyo basi acha kufikiria mambo yasiyofaa kumwelekea huyo binamu yako,muoneshe msimamo thabiti muepeuke ili ujiepushie dhambi zisizo za lazima na majuto ya baadae ya kihisia.coz mambo mengi sana tunayoyafanya within the foolish age baade huwa yanatuumiza sana na kutupa maswali mengi ya kwa nini nilifanya vile au niliamua vile

All the best kijana.
🍻
 
Back
Top Bottom