Nahisi binamu yangu ananitaka kimapenzi

Mkuu uko chuo cha biblia au madrasa au chuo kikuu, ili nijue naanzia wapi kutoa ushauri wangu.
 
Kuwa makini utafilisi duka, rejea wimbo kazi ya dukani
 
Dhambi ulisikia wap acha kupotosha jamii,binamu ruksa kuoana.
 
Mi mwenyewe nawaza apa naona ka.a binamu upande wa mama mdogo ndio jau ila hawa upande wa shangazi dadenya naona kama mali yangu vileeee[emoji3061][emoji3061][emoji3061][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukiwa watoto hao ndio tulikuwa tunajifunzia. na hata ukienda kwa mjomba au shangazi, wanakuacha ucheze nao, na hata wakimuita yeye aje akusalimie wanasema njoo msalimie mumeo.
 
Yakobo alimuoa leah na Raheli. Kula mashine uifanyie mazoezi hiyo..

Wanao kushauri kuacha wanakuonea wivu wanataka wao.piga hiyo kitu km inalipa ukichelewa wanakula watu.

Maku ya ndg haina limbwata unajipigia tu.hata akijaa shangazi atalea.utapandaaa!!! Ukienda ukirudi lkn kumega ni km kawa usilembe kula mzigo huo km inasimama.

Ukienda kwa mwajuma ndala ndefu utarogwa tu wewe. Piga mzigo ulindwe na limbwata.......kila ukipigwa kitu yeye habari anazo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…