Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Diamond anajua sana aisee, kwamfano kwenye ile official video ya nyimbo ya gere (tanasha x platnumz) kuanzia ile dakika ya 1:57 mpaka dakika ya 2:15 jamaa kaonesha body language presence ya hali ya juu sana, pale anapoanza kuimba "Eeh mama kasema mwali mwana, umepata ntuliee simba, ntuliee simba, zile chenga vidanga dana vicheche nchuniee simba ooh nchunie simba" angalia hiyo body language yake.. Ni hatari

Daah diamond hafanyi kama wasanii wengine wa bongo fleva wanavyofanya, yuko tofauti kabisa, anastahili kufahamika kwenye anga za kimataifa

Dakika ya 2:07 kwenye wimbo wa gere nimeipenda body language yake alivokaa kwenye kiti akiwa serious ametulia, kama mfalme flani hivi..

Wachambuzi wengine wa kazi za diamond, mnakaribishwa.
 
Diamond ni Mkorea Kaskazini kutoka Pyongyang
Hebu angalia vyema sura yake hapa chini
-
94718489_2380904205540743_7878372954751369216_n.jpg
 
Dah nilivyoona title nikaja speed mtetea asije fuatwa na uhamiaji kumbe mambo mawii tofauti
 
mwezako lugola anamsifia magu ili apate uwazir afu ww umekomaa kumsifia mondi ohooo labda atakupa nafas ya ubodigadi pale waasafi
 
Embu Sasa ,show ile kitu amekupa mama.....Kama inazama.....
 
Diamond anajua sana aisee, kwamfano kwenye ile official video ya nyimbo ya gere (tanasha x platnumz) kuanzia ile dakika ya 1:57 mpaka dakika ya 2:15 jamaa kaonesha body language presence ya hali ya juu sana, pale anapoanza kuimba "Eeh mama kasema mwali mwana, umepata ntuliee simba, ntuliee simba, zile chenga vidanga dana vicheche nchuniee simba ooh nchunie simba" angalia hiyo body language yake.. Ni hatari

Daah diamond hafanyi kama wasanii wengine wa bongo fleva wanavyofanya, yuko tofauti kabisa, anastahili kufahamika kwenye anga za kimataifa

Dakika ya 2:07 kwenye wimbo wa gere nimeipenda body language yake alivokaa kwenye kiti akiwa serious ametulia, kama mfalme flani hivi..

Wachambuzi wengine wa kazi za diamond, mnakaribishwa.
Mmekuja na la uraia sasa...!! Mmempambanisha na Kiba, wapi..!! Mmempambanisha Harmonise, lakini wapiii.!!! Sasa mmeanza la uraia...

By the way, BAADHI YENU MNAOJUA KIINGEREZA, inamaana nyie siyo watanzania..!??

Mnavyovaa mavazi yenye muonekano wa nchi zingine, nyie ni wa nchi hizo..!!?

Mnavyocheza masebene kwa kupatia kiasi kile, nyie ni wa Kongo..!!?

Mnavyojua kucheza KIMAKIRIKIRI, nyie ni wa Botswana..!!??

Tafakari...
 
Bado tunataka viwanda katika nchi yetu na mawazo ya vijana wetu ndio haya
 
Back
Top Bottom