Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

Nahisi Diamond Platnumz sio Mtanzania, body language presence anayoonesha kwenye video zake, sio style za kitanzania ni style za ki-west Africa hivi

Ngoja nikusaidie japo kidogo tu .
Diamond wafanyakazi wake ni wazungu kuanzia editing na kuipangilia miziki yake ndio maana english yake kidogo ime improve.
Kwa muziki daimond yupo serious sana kwa maana anajua hajawahi pata elimu bora na muziki ndio sehemu kubwa ya mkate wake wa kila siku .
Seriously .,anayeuza mwili wake insta ni mzee wetu huyu mipicha tu kama mtoto nawala hajali kama kuwa muziki ni sehemu ya mkate wake kila siku yeye picha zake ziko ugaibuni .
Kwa ndugu wa muzee ya mafuta hata akiimba tu nikuringa tu .
Nakujitoa mapicha kama model.
Juzi kaimba hot sasa sijui mpaka sasa ni iko asilimia ngapi?
Hayupo serious na lolote .
Hela unazoo sawa ila unahitaji kitu kinacho zunguka ili ubaki na life style uliozoea.

Yeye ni kama Chadema nimemaliza
 
Kiukweli mondi mkali me huwa napenda moves zake sana asaa kwenye jeje, the way anaenda na mdundo, na ata kwenye iyo gere body language ilikua mauaji japo kwenye kideo cha Quarantine sijaona saaana
 
Yan mpaka nimeona aibu, hii obsession aliyonayo kwa domo mmh kitamkuta kitu huyu [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpwa malizia bas n nn hicho kitakachomkuta huyu kiumbe wa domokaya. Uwiiiiiiiiih
 
Back
Top Bottom