Said Shabani Kondo
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 312
- 196
Kalale kwa jirani alafu uko kwako mwanga mafuta ya taaWadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?