Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Huyu wangu sumu yake sio potent kama ya black mamba.Wewe mwenyewe una joka. Ukija yanakuwa majoka mawili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu wangu sumu yake sio potent kama ya black mamba.Wewe mwenyewe una joka. Ukija yanakuwa majoka mawili.
Kwa hiyo hapo sinza vatican wanapatikana koboko, au...........Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Aina ya nyoka? 🤣Ndugu zangu nawaona tu kila mmoja anavyokuja hapa kujifanya expert wa nyoka.
Kila mmoja na aina yake.
Wewe huyo wako sumu yake inavimbisha tumbo miezi 9.Huyu wangu sumu yake sio potent kama ya black mamba.
Lakini baada ya hapo unakuwa umepata ka malaika kazuriiii.Wewe huyo wako sumu yake inavimbisha tumbo miezi 9.
[emoji23][emoji23]Lakini baada ya hapo unakuwa umepata ka malaika kazuriiii.
Amini kwamba.[emoji23][emoji23]
Choma mpira utakaotoa moshi mwingi au andaa mafuta ya taa na kuyasambaza chumbani au ita wataalam wa fumigation. Lakini check pia kama hisia zako zinafanya kazi vizuri?Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Uko vatcan ya wapi ambapo kuna Tanesco?Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Vacation halafu unaishi geto lenye mashimoWadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Nyoka ni nyoka mura..hama mtaaPIGA MRUZI AJE KITANDANI ILI UWE NA UHAKIKA KAMA NI YEYE KWELI.
KOBOKO! Hana nouma anapenda kuishi na watu, mpole huyo japo ana sumu Kali.
Pole unaishi Mkoa na wilaya Gani?Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Jamaa atakuwa ameingiliwa na swila wale nyoka weusi wanaotema mateBlack mamba hajawahi ku spit venom hata siku moja. Types za cobra kama Mozambique spitting cobra ndio wanarusha sumu hizo.
Kitu anachofanya fanya mamba ni kuinua kichwa juu na kutoa mlio fulani (hissing) bali hana uwezo wa kurusha venom.
Wewe utakuwa ulikutana na aina fulani ya cobra.
Koboko ndio ungekuwa na ujasiri wa kuchat kitandani?Hunitakii mema we jamaa unataka nife?.
Hunitakii mema we jamaa unataka nife?.