Said Shabani Kondo
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 312
- 196
Kalale kwa jirani alafu uko kwako mwanga mafuta ya taaWadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji ,
Na tangu jioni tanesco wamekata umeme,
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo ,
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Black mamba hajawahi ku spit venom hata siku moja. Types za cobra kama Mozambique spitting cobra ndio wanarusha sumu hizo.Usiwashe tochi. Kama uko ktk kitanda kina neti tulia. Ukiwasha tochi ya simu utatemewa mate ya simu kwenye uso. Aliingia chumbani kwangu site, nilikuwa nimewasha kandili mwnga kudogo nikasikia sauti ya kugongagonga maana nyumba full suti bati. Ile naongeza mwanga wa taa kuona ni nini akatema mate kwenye chemli. Nikamwona nilikuwa na mafuta ya taa nikamwaga upa nde alipokuwa.Asuuhi niikuta amekufa. Bonge ljoka jusi.NILIKUWA SIJUI KUNA NYOKA ENEO HILO
Haufi ila utajifunza huko vatcan ulienda kufanya nini.Hunitakii mema we jamaa unataka nife?.
Wewe mwenyewe una joka. Ukija yanakuwa majoka mawili.Ungenipigia nije kumtoa mimi ni snake catcher.
Siyo kila nyoka anarusha mate ya sumu.Usiwashe tochi. Kama uko ktk kitanda kina neti tulia. Ukiwasha tochi ya simu utatemewa mate ya simu kwenye uso. Aliingia chumbani kwangu site, nilikuwa nimewasha kandili mwnga kudogo nikasikia sauti ya kugongagonga maana nyumba full suti bati. Ile naongeza mwanga wa taa kuona ni nini akatema mate kwenye chemli. Nikamwona nilikuwa na mafuta ya taa nikamwaga upa nde alipokuwa.Asuuhi niikuta amekufa. Bonge ljoka jusi.NILIKUWA SIJUI KUNA NYOKA ENEO HILO
Obviously kama ukisemacho ni kweli basi huyo ni SWILA (COBRA) huwa anakawaida ya kugonga vitu pia hutoa sauti anapotembea kama hiyo.Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Kwani wale nyoka wetu unawafanya je?Yaani mimi sijui ningefanyaje[emoji23][emoji23]
Nawaogopa pia[emoji23]Kwani wale nyoka wetu unawafanya je?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweliNawaogopa pia[emoji23]
Nimecheka sana we mtoto akili huna na mnavyolipenda hilo joka la pili😂😂😂Wewe mwenyewe una joka. Ukija yanakuwa majoka mawili.
Mkuu; Yaani ww kwa busara zako bado unaamini kwamba kuna kitu kama hicho kwenye geto la huyo jamaa? Shyeee! amou; Geto kuna nini cha kumfanya au kumtamanisha nyoka aingiemo? Kwanza zingatia kwamba jamaa ameshasema alitoka vatcan.Black mamba hatakagi kwanza mazoea na raia Kama limelia pfuuuuu itakua Ni li puff adder Ilo au li house snake linatafuta mapanya na mijusi
Uwe unafanya usafi kwenye Ilo geto lako
Koboko saivi tungekuwa tunaimba tuonane milele, atakuwa mjusi tuWadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?
Tulia, lala kwa raha zako. Hangover ikiisha na huyo koboko atakuwa keshaondoka.Wadau nimetoka zangu vatcan hapa narudi gheto usingiji auji
Na tangu jioni TANESCO wamekata umeme
Wakati najigeuza geuza kitandani kutafuta usingizi ndo nasikia kuna kitu kama kina gonga gonga huku kukiwa na sauti kama tairi inatoa upepo
Huyu anaweza kuwa koboko , naombeni ushauri nifanyeje?