Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana

Mleta mada hajawai fika Khartoum. Kule ni motoni 😂😂😂
Khartoum ni jangwa huku dar sio jangwa
Kuna mda huwa najiuliza huko shuleni watanzania tunaenda kukua au kuelimika

Sehemu yeyeote ambayo hakuna jangwa na joto ni kali sababu kuwa ni kuwepo na humidity kuwa kubwa
 
Khartoum ni jangwa huku dar sio jangwa
Kuna mda huwa najiuliza huko shuleni watanzania tunaenda kukua au kuelimika

Sehemu yeyeote ambayo hakuna jangwa na joto ni kali sababu kuwa ni kuwepo na humidity kuwa kubwa
Wew nae ni mpumbavu tu...
Em pitia kile tunazungumza alaf uje ufute comment yako.

Kwa kukusaidia tu comment yangu sio kwa ajili ya sabab ya joto bali comparison between dar na Khartoum kiwango cha joto.

SIJUI HUWA MNASHIDA GANI WASWAHILI TOKA UMEIJUA HIO HUMIDITY IMEKUA SHIDA
 
Baki na ujinga wako
Miji ya india mpaka singapore ina joto sana japokua ina mvua nyingi sababu kubwa ni kuwa na kiwango kikubwa cha humidity

Sehemu yeyeote ambayo hakuna jangwa na joto ni kali sababu kuwa ni kuwepo na humidity kuwa kubwa

Mjinga mwenyewe
 
Khartoum ni jangwa huku dar sio jangwa
Kuna mda huwa najiuliza huko shuleni watanzania tunaenda kukua au kuelimika

Sehemu yeyeote ambayo hakuna jangwa na joto ni kali sababu kuwa ni kuwepo na humidity kuwa kubwa
Acha kushupaza shingo.

Mtoto mdogo huna adabu kwa wakubwa zako!
 
Wew nae ni mpumbavu tu...
Em pitia kile tunazungumza alaf uje ufe comment yako.

Kwa kukusaidia tu comment yako sio kwa ajili ya sabab ya joto bali comparison between dar na Khartoum kiwango cha joto.

SIJUI HUWA MNASHIDA GANI WASWAHILI TOKA UMEIJUA HIO HUMIDITY IMEKUA SHIDA
Kasome tena geography unafananisha jangwani khartoum na dar es salaam pole sana
 
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote

Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
Labda ni kwasababu ya mpangilio mbovu wa jiji kulingana na majiji uliotembelea , kuna kitu katika Jeografia wanaita The Urban heat island effect nadhani inaweza kuwa sababu.. lakini kwa data za mwaka uliopita kulikuwa na mabadiliko makubwa ya hali ya hewa , Elewa pia tupo katika ukanda wa Ikweta.
 
Ukienda singapore, malysia na eneo zima la southeast asia kuna kijani, mvua nyingi na kuna joto kali na sio jangwani sababu kubwa ni eneo lile lina humidity kubwa sana

Same kwa eneo la kusini mashariki mwa marekani kuanzia jimbo la lousiana, mississipi, alabama, florida na georgia yale yana mvua nyingi na joto kali sana kipindi cha summer na sio jangwa sababu ya joto kubwa ni uwepo wa humidity kwenye yale majimbo

Dar na eneo kubwa la mkoa wa Tanga kuna joto kali sababu ya kuwepo kwa humidity
 
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote

Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
Labda ni mgeni dar, kuna miezi hadi maji ya kuoga tunachemsha
 
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote

Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
Itaje hiyo miji ili tubaini ukweli wako
 
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote

Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
Laana ni suala la kiimani.
Tena imani potofu

Hakuna kitu kama Laana
 
Nimetembelea baadhi ya miji hapa Africa. Miji Hali ya hewa ni kawaida. Kuna kipindi kunakuwa na joto lakini sio wakati wote

Ila jiji la Dar es salaam linashangaza sana. Kwanini kuna joto la kutisha mwaka mzima. Miji mwingine Africa haiko hivyo. Hali ya hewa ni mchanganyiko Ila Dar ni joto mwaka mzima.

Nahisi jiji la Dar es salaam limekumbwa na laana
kata miti panda miti , je wana darisalamaa wanazingatia hili?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom