Nahisi kama nimeingizwa chaka

Nahisi kama nimeingizwa chaka

Kama akuona siku zake katikati ya mwezi wa nane tarehe za kujifungua bado mkuu, apo inaweza kua kati ya tarehe 8 had tarehe 22 May kwahyo yupo sahihi labda huu mwezi ukipita ikiwa bado ndo uanze kupata wasiwasi, au pia waweza kwenda hosptl ufanye confrmation na utradound. Asante
 
Kuna rafiki yangu iliwahi kumtokea tena miezi hiyo hiyo
Alikutana na demu wake mwezi wa 5, demu baadae akawa mjamzito akamuambia jamaa ni mimba yake. Jamaa akapiga hesabu kuwa demu atanifunvua mwezi wa Pili.
Demu kaja kujifungua mwezi wa 4, kwa maana baada ya miezi 11 na sio 9.
Watu wakamuambia jamaa shtuka umeibiwa, na bahati mbaya mtoto hafanani nae kabisa. Jamaa alijifungia ndani wiki nzima analia tu, wahuni washamsaidia
Aisee, naona ndio kinachonitokea huku.
 
Je, baada ya kuambiwa ana mimba yako mliendelea kufanya mapenzi au hamkufanya tena?

Inawezekana mara ya kwanza alikuwa anakupima je uko tayari. Alivyoona uko tayari basi ndo akabeba mimba.
Mkuu nimekutana nae mara moja tu, toka huo mwezi wa saba hadi leo sijakutana nae kimwili tena.
 
Kama akuona siku zake katikati ya mwezi wa nane tarehe za kujifungua bado mkuu, apo inaweza kua kati ya tarehe 8 had tarehe 22 May kwahyo yupo sahihi labda huu mwezi ukipita ikiwa bado ndo uanze kupata wasiwasi, au pia waweza kwenda hosptl ufanye confrmation na utradound. Asante
Tulikutana 25/07 kwenye tarehe 30/08 ndo akaniambia ana ujauzito wangu.. na hapo katikati hajakutana na yeyote.
 
Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.
Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili. Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Kondomu hua hamuzioni??
 
Kwa comment hzo chache za wadau hapo juu znatosha kukupa pakuanzia

Yaan ni kwamba yote yanawezekana.

Swala ni wewe kuchukua hatua za kufuatilia kujua umri wa mimba ( maana n kweli Kuna wakati mimba ua inapitiliza na vipimo vitaonyesha)

Ikionyesha mimba haijafka miezi hyo mdai maelezo, yakiyumba piga chini tafuta ustaarabu mwingine, we sio wa Kwanza kubambikwa
 
Kuna rafiki yangu iliwahi kumtokea tena miezi hiyo hiyo
Alikutana na demu wake mwezi wa 5, demu baadae akawa mjamzito akamuambia jamaa ni mimba yake. Jamaa akapiga hesabu kuwa demu atanifunvua mwezi wa Pili.
Demu kaja kujifungua mwezi wa 4, kwa maana baada ya miezi 11 na sio 9.
Watu wakamuambia jamaa shtuka umeibiwa, na bahati mbaya mtoto hafanani nae kabisa. Jamaa alijifungia ndani wiki nzima analia tu, wahuni washamsaidia
Mm mwenyewe imenitokea yaaan mtoto hatufanan hata kidogo , nmemwambia binti huyu mtoto nitamsaidia matunzo akikua ampelekee baba yake
 
Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-

Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.

Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.

Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.

Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.

Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Mtoto wa mwenzio muone kama mtoto wakooooo oooo 🎵🔊🎶🎼
 
Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-

Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.

Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.

Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.

Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.

Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Acha kujipa stress mkuu. It's possible, nomo time ni miezi 9, lakini kuna some cases mtu anajifungua kabla ya huo muda au baada.

Hujawahi sikia mtu amejifungua kabla ya miezi 9? Alaf tukirudi kwenye hii case yako, kama ungekuwa umesaidiwa (kwamba demu alikuwa na mimba kabla hujala nae) basi ilitakiwa ajifingue kabla ya miezi 9 unayohesabu wewe (kwa maana ya kwamba wewe ukiona mimba imetimiza let say miezi miwili tokea akwambie, ila yenyewe ingekuwa na let say miezi miwili na wiki kadhaa).

Sijui wanielewa mkuu? Ukisikiliza sana comments za wadau bila kuchuja , unaweza kujikuta unafanya maamuzi yasiyosahihi. Subiria mtoto azaliwe, then uje kutoa ushuhuda hapa. Umeshalea mimba tokea ikiea ndogo, now anakaribia kujifungua, angalia usije kuharibu mwishoni
 
CDM mliwatumia watoto wa watu kina mdee kuitukana serekali ya ccm kwa kipind lirefu Leo mnakuja kuwataka kuwafukuza Kam mbwa hpn huo ndio uhun
Mdee kanyaga twende
 
Back
Top Bottom