6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Bravo team, this is Alpha team.. target locked permission to engageAlpha Team; I repeat MAN DOWN!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bravo team, this is Alpha team.. target locked permission to engageAlpha Team; I repeat MAN DOWN!
Bravo team: Permissions granted; green light. Clear to engage.Bravo team, this is Alpha team.. target locked permission to engage
Kabeba temboSitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki. Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Duh hii mbona balaaaHaya mambo bana yanatia mashaka sana
Nasikia mimba inaweza kubebwa hata hadi miezi 12
Lakini pia mfano nilikata tamaa niliposikia kwamba unaweza kumpa demu mimba alafu ukamuacha alafu akawa analala na mshkaji mwingine na mtoto akazaliwa anafanana na huyo mshkaji japo siyo wake
Kwa maana hiyo kufanana na mtoto pia siyo kigezo kwamba ni damu yako huwenda pia siyo wako
Mbona nyie kushare hela za mume wako na mwanamke mwengine mnatokwa povuPole sana ila sio dhambi kulea mtoto wa mwingine mkuu…
Hatujakataa kama ziko nyingi za kunitosha mie na mahitaji yangu zinazobaki ampe na mwingine…Mbona nyie kushare hela za mume wako na mwanamke mwengine mnatokwa povu
Haya sasa ndio manenoHatujakataa kama ziko nyingi za kunitosha mie na mahitaji yangu zinazobaki ampe na mwingine…
Mtoto anaweza kuwa wako bado, hoja siyo alikwambia lini bali hoja ni mara ya mwisho kufanya naye mapenzi ilikuwa lini.Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki. Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Anavyodai kwenye kadi kaandikiwa tarehe 25/05 ndo maximum ya kujifungua.Kama ulikutana nae 25/7/2021....
1.Due Date(40th Week) ni almost 17 April 2022.
2.Mimba ipo overdue kwa wiki almost 5.
Sasa basi, Mara nyingi Doctors wanaacha mimba maximum 42 weeks.Kwa case yako ingekuwa ni 30/04/2022....hapo angeanzishiwa uchungu (labor induction) na kama ingeshindikana basi angefangiwa tu Operation. Hiyo ndio best practice. Sidhani kama angeachwa kufika mbali kote huku 45 weeks.Labda madaktari waje kutoa maarifa zaidi.
Ndio ilikuwa mwezi wa 7/25Mtoto anaweza kuwa wako bado, hoja siyo alikwambia lini bali hoja ni mara ya mwisho kufanya naye mapenzi ilikuwa lini.
Yawezekana alikugundua anaweza kukutumia kupata mtoto, lakini akakujaribu kwa kukudanganya na ukaonekana siyo mtu wa kukimbia majukumu na ndo akakutegeshea vizuri.
Labda kama unasema mara ya mwisho kufanya naye mapenzi ilikuwa mwezi wa saba labda