Nahisi kama nimeingizwa chaka

Nahisi kama nimeingizwa chaka

Mwanamke hua anatakiwa anifungue week ya 36 hadi 40. Ila ukiona kafika week ya 42 hajajifungua ndio hua wanfanyiwa induced labor. Haya calculate hizo week 40 ni miezi mingapi halafu uache kulialia na knowledge yako ya form 3 hiyo
Kutoka 25/07/2021 Nimepiga hesabu ikifika tarehe 25/05/2022 itakuwa wiki ya 40, kwenye 40 ukitoa siku 7 ambayo ni tarehe ya leo 18/05 inabaki 33. So kwenye 36 bado siku 3.. kwenye 40 bado siku 7.
 
Ingia Google,Kuna case Hadi za week 42...Au tulia ajifungue acha kumuulizauliza mimba Ni nusu ya kifo usimzidishie stress dada wa watu...nikikumbuka mimba inapofika miezi name huwa naishiwa maarifa kabisa
 
Kutoka 25/07/2021 Nimepiga hesabu ikifika tarehe 25/05/2022 itakuwa wiki ya 40, kwenye 40 ukitoa siku 7 ambayo ni tarehe ya leo 18/05 inabaki 33. So kwenye 36 bado siku 3.. kwenye 40 bado siku 7.
Tulia mzee mwenzangu maximum ni tar 9/6/2022
 
Kutoka 25/07/2021 Nimepiga hesabu ikifika tarehe 25/05/2022 itakuwa wiki ya 40, kwenye 40 ukitoa siku 7 ambayo ni tarehe ya leo 18/05 inabaki 33. So kwenye 36 bado siku 3.. kwenye 40 bado siku 7.
Bwana wee Hadi 42 watu wanafika SEMA Ni vile yeye mwenyewe hamjielewi ndio anapoleta Shaka.
 
Ndio hivyo mkuu

Most pregnancies last 37 to 42 weeks, but some take longer. If your pregnancy lasts more than 42 weeks, it is called post-term (past due). This happens in a small number of pregnancies. While there are some risks in a post-term pregnancy, most post-term babies are born healthy
 
Chukua mkono wowote uwe wa Kulia au wa Kushoto wa Mtoto wako kisha kwa umakini kabisa huku ukiwa umetulia angalia pale katikati ya mkono ( kiganjani ) linganisha ile mistari iliyopo na ya kwako.
Kisha ukimaliza linganisha tena mistari iliyopo katika vidole vyake na vya kwako. Mistari ikifanana ni wako hisipofanana si wako, HII NDO NJIA YA ASILI.
Hii ni uongo.
Sembuse watoto mapacha na hiyo mistari yao haifanani na wametoka tumbo moja. Unataka useme hawa mapacha kila mmoja ana baba yake?
 
Okey,
Ndio hivyo mkuu

Most pregnancies last 37 to 42 weeks, but some take longer. If your pregnancy lasts more than 42 weeks, it is called post-term (past due). This happens in a small number of pregnancies. While there are some risks in a post-term pregnancy, most post-term babies are born healthy
Ooh nimekupata, thanks
 
Mawili,...Tuliza Moyo....au peleka kwa Dr elezea scenario nzima apigwe ultrasound sound kesho unaweza Rudi na habari nyingine hapa
Sawa mkuu ahsante sana kwa maoni yako. Acha nitulize akili
 
Mimba anayo. Hapo kwenye miezi 10 ndo balaaa
Utafiti ulionyesha 45% ya wanandoa wanaoenda kupima DNA hapa bongo hukuta Watoto sio wao. Shtuka, kuna demu namfahamu kapewa mimba na mwingine Ila baba akawa mwingine. Sababu tu aliyempa mimba hawakuwa na mipango walikua wanaibia(wanachepuka).
 
Utafiti ulionyesha 45% ya wanandoa wanaoenda kupima DNA hapa bongo hukuta Watoto sio wao. Shtuka, kuna demu namfahamu kapewa mimba na mwingine Ila baba akawa mwingine. Sababu tu aliyempa mimba hawakuwa na mipango walikua wanaibia(wanachepuka).
Hatari kweli kweli.
 
Mkuu, yaani nashindwa niseme nini, acha niongee na docta mmoja hapa nione kama inawezekana kama mimba inaweza kufika miezi 10.
Mimba inawezekana kabisa kufika miezi 10, na inatokea Sana tu Wala aina haja ya kumuuliza doctor.
Hapa issue ni kujua je huyo demu wako ni mchepukaji? Kama una uhakika huyo mwanamke sio mchepukaji kabisa, basi ni yako. Ila ukweli ni kuwa wanaume wengi wanalea Watoto sio wao
 
Mimba inawezekana kabisa kufika miezi 10, na inatokea Sana tu Wala aina haja ya kumuuliza doctor.
Hapa issue ni kujua je huyo demu wako ni mchepukaji? Kama una uhakika huyo mwanamke sio mchepukaji kabisa, basi ni yako. Ila ukweli ni kuwa wanaume wengi wanalea Watoto sio wao
Wanawake ni pasua kichwa sana.
 
Back
Top Bottom