Aisee, naona ndio kinachonitokea huku.Kuna rafiki yangu iliwahi kumtokea tena miezi hiyo hiyo
Alikutana na demu wake mwezi wa 5, demu baadae akawa mjamzito akamuambia jamaa ni mimba yake. Jamaa akapiga hesabu kuwa demu atanifunvua mwezi wa Pili.
Demu kaja kujifungua mwezi wa 4, kwa maana baada ya miezi 11 na sio 9.
Watu wakamuambia jamaa shtuka umeibiwa, na bahati mbaya mtoto hafanani nae kabisa. Jamaa alijifungia ndani wiki nzima analia tu, wahuni washamsaidia
Mimba anayo. Hapo kwenye miezi 10 ndo balaaaSwali..mimba anayo au hana?
Kuna mimba zinafikisha miezi 10
Mkuu nimekutana nae mara moja tu, toka huo mwezi wa saba hadi leo sijakutana nae kimwili tena.Je, baada ya kuambiwa ana mimba yako mliendelea kufanya mapenzi au hamkufanya tena?
Inawezekana mara ya kwanza alikuwa anakupima je uko tayari. Alivyoona uko tayari basi ndo akabeba mimba.
Tulikutana 25/07 kwenye tarehe 30/08 ndo akaniambia ana ujauzito wangu.. na hapo katikati hajakutana na yeyote.Kama akuona siku zake katikati ya mwezi wa nane tarehe za kujifungua bado mkuu, apo inaweza kua kati ya tarehe 8 had tarehe 22 May kwahyo yupo sahihi labda huu mwezi ukipita ikiwa bado ndo uanze kupata wasiwasi, au pia waweza kwenda hosptl ufanye confrmation na utradound. Asante
Tulikutana 25/07 kwenye tarehe 30/08 ndo akaniambia ana ujauzito wangu.. na hapo katikati hajakutana na yeyote.
Haha hofu yako nini vipimo si vipo?Mimba anayo. Hapo kwenye miezi 10 ndo balaaa
Mkuu hayo yote sikufatiria kabsa.Je alikwambia tarehe ya mwisho kuona siku zake ilikua ni lini?
Mkuu Nikapime nini?Haha hofu yako nini vipimo si vipo?
DNAMkuu Nikapime nini?
Kondomu hua hamuzioni??Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.
Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili. Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Mm mwenyewe imenitokea yaaan mtoto hatufanan hata kidogo , nmemwambia binti huyu mtoto nitamsaidia matunzo akikua ampelekee baba yakeKuna rafiki yangu iliwahi kumtokea tena miezi hiyo hiyo
Alikutana na demu wake mwezi wa 5, demu baadae akawa mjamzito akamuambia jamaa ni mimba yake. Jamaa akapiga hesabu kuwa demu atanifunvua mwezi wa Pili.
Demu kaja kujifungua mwezi wa 4, kwa maana baada ya miezi 11 na sio 9.
Watu wakamuambia jamaa shtuka umeibiwa, na bahati mbaya mtoto hafanani nae kabisa. Jamaa alijifungia ndani wiki nzima analia tu, wahuni washamsaidia
Mtoto wa mwenzio muone kama mtoto wakooooo oooo šµšš¶š¼Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.
Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Acha kujipa stress mkuu. It's possible, nomo time ni miezi 9, lakini kuna some cases mtu anajifungua kabla ya huo muda au baada.Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki.
Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.