Nahisi kufa nahitaji msaada wa haraka

Nahisi kufa nahitaji msaada wa haraka

Pole sana mkuu, ungejaribu na zile tiba mbadala za kichina huenda ukapata suluhisho la tatizo lako. Naomba usikate tamaa, endelea kujipambania huku ukizidisha na maombi pia.
Mkuu zimegonga mwamba niliendaga pale magomen mapipa walikuwepo pale

Ahsante ubarikiwe mkuu
 
Ndugu zanguni naumwa sana na spinal cord (hiki ni kinyama kinachofunikwa na uti wa mgongo upande wa nyuma kinaanzia shingoni hadi kiunoni)

Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)

Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?

Naomba msaada wa mawazo.

Nawasilisha.


View attachment 2664916
Pole upo mkoa gani yupo docta bingwa wa haya magonjwa atakupa majibu yeye baada ya kupima mungu akuponye
 
Nipo songwe mkuu ikonda ilikuwa planned but the same runner wa hili tatizo alienda hawakuona kitu apa inabidi niwe na dakitar atakayenifanyia mavipimo tofauti na nilivyofanya maana vingi huwa vinarudia ukileta kuwashauri wakufanyie kingine watakwambia wewe ni dakitar au unanifundisha kaz kama ndo ivo bas jitibu, nawaombea msije umwa magonjwa kama hatar kama haya mbarikiwe sana ndug zanguni
Nenda ikonda mkuu usijali maelezo ya huyo mtu. Kule utapata jibu la ukweli.
 
Nimeenda sana mkuu et hawaon tatizo x ray, ct scan na mri nimepigwa sana bado hawakuona tatizo ndo mana natafta mtu alie pitia hali kama yangu

Ahsante kwa ushauri wako ntaendelea kwenda hospitalin nisipokufa hiv karibun
Pole sana, hilo linatibika hapo hospitali jiongeze
 
Ndugu zanguni naumwa sana na spinal cord (hiki ni kinyama kinachofunikwa na uti wa mgongo upande wa nyuma kinaanzia shingoni hadi kiunoni)

Mimi panaponiuma sehemu mkabara na kifua (maumivu kama kidonda kimewekwa pilipili au nachomwa na moto pamoja na misuli kukaza iyo sehemu had mabegani)

Naomba kuuliza kuna mtu au ulimsikia amewahi kuumwa SPINAL TB (TB ya mgongo (ungwe mgongo) au spinal kushambuliwa na fangas?

Naomba msaada wa mawazo.

Nawasilisha.


View attachment 2664916
Kuna mtu alikuwa na tatizo kama hili miaka kadhaa nyuma. Aliponea Ikonda
 
kibiongo ndo nin mkuu?
Kibiongo ni tatizo la kupinda kwa mifupa wa uti mgongo

Sababu ya tatizo hili haijulikani kwa wagonjwa wengi.

Wengi huzaliwa na tatizo hili.Matibabu ya tatizo hili ni upasuaji, na huduma hii inapatikana katika taasisi ya mifupa (MOI)
356E67A6-D9ED-44D0-BA1C-29FF5577D1A2.jpeg
19BDB15F-602E-4B04-B0D9-CA35ED82CAF2.jpeg
 
Back
Top Bottom