Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
- Thread starter
- #21
Nani huyo...We akome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo...We akome
Kapime DNASio nikaulize kwetu hakuna mtu mweupe. Sio Kwa baba, sio Kwa mama wote tinted. Labda kwao ila sijamuuliza nataka asishtuke kama namchunguza huyu dogo.
weweNani huyo...
Hiv ni bei gani kupima DNA. Alafu naskia kuna mambo ya kuapa mahakani sijui..Kapime DNA
Kuna fact moja ya kisayansi sema ni ndefu tu ningekupa hapa halafu ungebadilisha mawazo yako tu mkuu.Wataalam wa mambo... twende kazi....
Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.
Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?
Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.
Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.
Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.
Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.
Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....
Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.
Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Huo ni uongo.KITANDA HAKIZAI HARAMU. ALIYEZALIWAA NA MKEO NI MWANAO, MPENDE ,MWANAO ACHA KUMKAGUA KAGUA, MTOTO AKIWA MDOGO SURA HUBADLIKA BADILIKA NA SIO LAZMA AFANANE NA WEWE, ANAWEZA FANANA NA BIBI AKE SHANGAZ WA MKEO AMBAYE NI CHOTARA
Jaribu hata kufupisha kidogo mtaalam tupate elimu hiyo japo kiasiKuna fact moja ya kisayansi sema ni ndefu tu ningekupa hapa halafu ungebadilisha mawazo yako tu mkuu.
Tulia hata Mandela aligongewa sembuse mnywa bia,chill up,miezi kumi michache,atabadirika Baadae huko,usihoji Sana vyumba vina Siri nyingi,ungekosa hata huyo utakesha ukikemea sii Bora una solutionWataalam wa mambo... twende kazi....
Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.
Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?
Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.
Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.
Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.
Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.
Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....
Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.
Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Aisee ilikuwaje mzee na ulichoropoka vipitokomea tu 😂😂mwaka jana nmenusurika kupigwa tukio kama hilo dah wanawake mungu awaweke
nlihudumia mimba miezi 9 mwez wa tsa umefka demu hajajifungua afu mara y mwsho kuonana nae alikua na mimba yngu miez 4 kumbe aliitoaga bhna sku iyo nkafnga safar mpka kwao hakuwepo kumbe alikua kahamisha makaz kwa jamaa mwngne mimba yngu aliitoa qumamak€ zake ila nlishukuru maana demu n mcharuko afu skuwa nimempnda japo roho iliniuma sana aiseeAisee ilikuwaje mzee na ulichoropoka vipi
Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.