Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Kama kwenu au kwao mwanamke, mzazi mmoja au wazazi ni weupe lakini nyie ni weusi, basi mmoja wenu au wote mtakuwa na gene nyeupe ( Kama kuna mtu anaweza kuelezea vizuri zaidi). Ndio maana mtoto amezaliwa mweupe na hata badilika. Kama sio hivyo basi Mungu akusaidie usifanye maamuzi magumu.
 
Ngoja na mimi Nianze mazoezi ya kukana kwa atakaye niletea
Screenshot_20231021-154736.png
 
Siku hizi masista duu wanajisemea wanapenda kuolewa na mwanaume mrefu halafu mweusi.

Lakini mtoto wanapenda wazae mweupe (kwahyo nyuma ya pazia wanajikuta wanakuja kwetu lightskin tunawazalisha wanarudi kwa mabwana zao).

NAKAZIA: Ndani ya ndoa zenu kuna watoto wetu msiwaue!!!
 
Ach
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Acha hizo habari mkuu,
Anaeza hasiwe na rangi kama yako lkn mkao wa vidole,masikio ikawa ni wewe.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Amefanana na mzazi wako mmoja wapo,
mfano mimi nimefanana na wajomba,
c
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
MAtokeo ya watoa maoni ya hovyo mitandaoni yanazalisha fikra kama hizi za watu ambao wanakosa ustahimilivu na uanaume.

Wewe mwenyewe umepima DNA kujua kama baba yako ndiye yeye kweli au?
 
Tatizo maisha mnayakazia na kuyapania sana. Life is too short, unachofikiria kichwani ni kujimaliza kabisa au kwenda kuishi jela maisha yako yaliyobakia. Jiulize baada ya kuwa hivyo utapata nini zaidi ya kujilaumu!?,nenda kapime DNA ukiwa tayari kwa lolote, ukikuta dogo sio wako. Chukua begi na nguo tu, poteza mawasiliano na watu wote wa karibu angalau miezi 6 ukimshirikisha Mungu kwa ukaribu, baada ya hapo ndio utakuwa na maamuzi ya busara. Ukipima DNA ukakuta dogo ni wako, niliyoeleza hapo juu yote yapuuze hayana maana tena. Huu ni ushauri wangu.
Kwani hii nchi wanapima DNA?
 
Sisi tumezaliwa wakiume wa tatu.Kaka zangu wote ni weusi, mimi peke yangu ndo nimezaliwa mweupe.

Na hapo hapo. Baba na mama wote ni weusi kabksa. Ilaa naambiwa, weupe nimetoa kwa bibi mzaa baba.

Kwahyo mleta uzi kazi kwako
 
Naskia Kwa hapa TZ hizo DNA zikitoka tu kwa mkemia hatakama mtoto sio wako utaambiwa ni wako. Wanahofia familia itasambaratika na mtoto ataishi katika mazngira magumu hivyo hata kama sio wangu mkemia ataniambia hongera sana kijana... Moto ni wako asilimia mia. Sasa hayo yote ya kudanganywa na mkemia ya nini!!!
Hivi hujawahi kuona, mtu mweusi akazaa albino?

Kwanini unawaza ujinga huo?

Kwani umeangalia kwenu hakuna weupe au kwa mkeo?

Mimi nakumbuka bibi yangu alikuwa anaangalia watoto wa mwanae wa kiume kwa kuangalia viganja vya mikono na husema huyu ni wa kwetu.

Sasa kama wewe umeangalia viganja ukaona mnafanana huyo wako.

Au kama huna imani na DNA basi watumie wazee.

Ila kwa ripoti za DNA nchini hapo ziliwahi kuripotiwa kuwa asilimia 60 kwa wanaenda kupima zilionekana sio watoto wa baba waliopimwa. Sasa wewe kusema kuwa huwa wanadanganya kulazimisha uzazi umezitoa wapi? Ni za mtaani sana zisizo na ukweli.
 
Huo ni uongo.
Mungu kuondoa sintofahamu aliamuru watoto wote bila kujali jinsia lazima wafanane na baba yao.
Mtoto yeyote asiyefanana na wewe huyo si wako.
Baba yangu ana watoto 17 .
Hakuna hata mtoto mmoja ambaye hajafanana naye
Khaaaaaaaaa. Mpya hiii na kuishi kote duniani hapa.
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Mkuu kama unayosema ndio kweli yapo akilini mwako, Pole sana! Ila kama ni changamsha kijiwe poa!
Nakusihii tuliza akili na ufanye yafutayo!
Kwanza amini fact kuwa inawezekana mtoto akawa wako au siyo wako!
Fact ya pili ambayo unapaswa kuikubali ni kuwa ama mtoto awe wako au siyo wako malaika hana hatia, hivyo hastahili kwa namna yoyote kupata adhabu ya direct au indirectly!
Aidha, jiweke wewe katika nafsi ya mtoto husika!
Pia elewa kuwa endapo utamfanyia tendo la ukatili mtoto au mama, utakuwa umefanya ukatili kwako mwenyewe, mtoto, jamii yako na muumba kama unaamini katika imani!
Suala la mashaka ama kumchunguza mtoto kama wako au siyo wako ni la kawaida kwa mwanaume na viumbe hai wengine wenye IQ, hivyo nawe una uhalali wa kufanya hivyo!

Endapo utajiridhisha kuwa siyo wako, tafadhari, kubali matokeo na fanya maamuzi mawili tu: samehe na endelea kumtambua kama wako na ikiwezekana endelea na mahusiano na mama watoto wako ingawa ni ngumu. Kuna mchungaji wa kisasa mjini yeye analea tu na anajuwa kuwa sio wake. Pili, copy option ya Yusuph dhidi Bikira Maria, mwache kimya kimya bila yeye kujua kwa faida ya mtoto. Ikiwezekana tafuta issue nyingine ya kuachana!
Nakusihi usione jambo la ajabu kuchapiwa na mkeo kuzaa mtoto wa nje bali fanya maamuzi ya kujilinda wewe, Ndugu zako na mtoto husika. Ukifanya vinginevyo unaweza ukajikatitli wewe, mtoto na kuisababiashia maumivu ya kudumu jamii yako.
 
Back
Top Bottom