Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Tuachane na mada ya mtoto.

Embu tueleze wewe na mkeo mnaishije? Kuna viashiria vyovyote vya usaliti ulivyowahi kuviona kabla hajabeba ujauzito? Je wewe ni muaminifu kwake? Huna makandokando?

Kwa sababu wakati mwingine wewe kutokuwa mwaminifu kunaweza kukuathiri hata wewe mwenyewe kisaikolojia, ukawa unahisi na mwenzio naye atakua kama wewe ndio maana unahangaika kumtafutia vijisababu vya usaliti hata kama havipo.

So relax. Take care of the kid. You may not be his Father, but he will always be your Son.
 
Unaandika kama sifa eeh?Isanga Kuna kitanzi,Isanga hakuna JF ukadhani Kuna siku ukishafanya huo upuuzi utarudi kutusimulia huo ushujaa wako....Tulia think wisely ,kama unafanya DNA hakikisha una Moyo wa kupokea majibu yeyote either pos or neg...
 
sasa mwanang steve haya mambo si ungeyamaliza tu nyumban kuliko kuyaleta huku?
 
Kuchapiwa mbona kawaida? Ushaambiwa kitanda hakizai haramu, tuliza mizuka yako usilete fujo. Kama mkeo alichepuka akaingiziwa kete vunga na lea huyo mtoto ni wako kazaliwa kwenye boma lako. Ila msela aliyetumbukiza kete atakuwa anajisifu kuwa beberu lililoingia bomani mwa mtu na kufanya yake huku likijua la mtoto hapo na mama wa mtoto anajua mchongo mzima, ni siri yake
 
Rangi anaweza chukua ata ya kwenu/kwao mke
Mama yako au yake
Baba yako au yake
Bibi,babu yako yake

Enjoy life ongeza supu kwa mama
 
Wataalam wa mambo... twende kazi....

Kwani huwa inachukua muda gani mtoto kuwa na rangi wa wazazi wake..? Au kufanana na wazazi wake hata mmoja tu.

Baba mweusi, mama mweusi lakini mtoto katoka mweupee. Ndiyo najua kuna ile rangi nyeupe ya kitoto lakini kama wazazi ni weusi baadae inabadilika na anakuwa mweusi, lakini mbona huyu rangi haibadiliki?

Mtoto ana miezi kumi saizi ila hata dalili za kubadilika rangi hamna, toto bado ni jeupee.

Nahisi kuna uwepo wa miso misondo hapa a.k.a kitu kizito sasa subiri.

Niliapa katika maisha yangu siji kuuwa mtu hata siku moja, kwanza ni zambi ila kumbe inawezekana kiurahisi tu aisee na wala sio zambi kumbe.

Ngoja kwanza muda wote najifanya kama sijashtuka vile nakaa na mtoto nacheza nae kumbe mjuba namkagua chalii na bado sijioni kabisaaaaa.

Tumefanana kitu kimoja tuu, ile mistari ya kwenye viganja... Alama zilivyojichora kwenye kiganja changu cha kushoto nayeye cha kushoto ziko vile vile.... Na za mkono wa kulia wangu zilivyojichora na yeye vile vile ila the rest ni utofauti wa kiwango cha lami....

Kuna time nikiwa nimempakata namcheki dogo weeee kama anakujaa alafu anakataaa..... Napiga funda Moja la safari... Namcheki tena weeee anakuja alafu anakataaaa.

Nahisi kuna siku nitatangazwa kwenye kile kipindi cha matukio ya wiki pale I.T.V kwa kitendo ambachi nimepanga kukifanya. We ngoja, time will tell.
Mkuu humu kuna bandiko linaonesha jinsi ya kumgundua mtoto kama ni wako au sio wako ..litafute kisha lifanyie kazi
 
Back
Top Bottom