Nahisi kuna kitu kizito we subiri nione mchezo unapoishia

Kuna fact moja ya kisayansi sema ni ndefu tu ningekupa hapa halafu ungebadilisha mawazo yako tu mkuu.
 
KITANDA HAKIZAI HARAMU. ALIYEZALIWAA NA MKEO NI MWANAO, MPENDE ,MWANAO ACHA KUMKAGUA KAGUA, MTOTO AKIWA MDOGO SURA HUBADLIKA BADILIKA NA SIO LAZMA AFANANE NA WEWE, ANAWEZA FANANA NA BIBI AKE SHANGAZ WA MKEO AMBAYE NI CHOTARA
Huo ni uongo.
Mungu kuondoa sintofahamu aliamuru watoto wote bila kujali jinsia lazima wafanane na baba yao.
Mtoto yeyote asiyefanana na wewe huyo si wako.
Baba yangu ana watoto 17 .
Hakuna hata mtoto mmoja ambaye hajafanana naye
 
Tulia hata Mandela aligongewa sembuse mnywa bia,chill up,miezi kumi michache,atabadirika Baadae huko,usihoji Sana vyumba vina Siri nyingi,ungekosa hata huyo utakesha ukikemea sii Bora una solution
 
Aisee ilikuwaje mzee na ulichoropoka vipi
nlihudumia mimba miezi 9 mwez wa tsa umefka demu hajajifungua afu mara y mwsho kuonana nae alikua na mimba yngu miez 4 kumbe aliitoaga bhna sku iyo nkafnga safar mpka kwao hakuwepo kumbe alikua kahamisha makaz kwa jamaa mwngne mimba yngu aliitoa qumamak€ zake ila nlishukuru maana demu n mcharuko afu skuwa nimempnda japo roho iliniuma sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…