Nahisi kuona vitu ambavyo vitanitokea, hii inatokana na nini ?

Nahisi kuona vitu ambavyo vitanitokea, hii inatokana na nini ?

Hii hali ina scientific explanations ambayo iko very reality na ya kueleweka, still inafanyiwa kazi.. Let wait soon tutapata majibu.

Ila sasa wakati tukiwa katika kusubiri majibu ningependa kuchukua fursa hii kutahadharisha uma kuwa hii hali ikizidi huwa inasababisha magonjwa ya akili..kama schizophrenic, anxient, na fear na uwendawazimu

Kwa waathirika please tafuteni wataalamu wa saikolojia kwa ajili ya tiba na kufanya brain restoration.
 
kawoli tayari ubongo wako una miliki kiwango fulani cha supernatural powers yani uwezo wa kutabiri yajayo-power to predict the foreseen, una kitu kinaitwa the sixth sense pitia uzi wa Pasco uhusuyo hayo mambo! ukiamua kujiendeleza katika hilo utakuwa mtabiri na mnajimu mzuri sana pia unaweza kufikia level ya kuzuiya jambo lisitokee au litokee mfano uwezo wa kucheza na akili ya mtu unamsimamisha unamkalisha unamgeuza bila yeye mwenyewe kujua nini kinatokea LAKINI vilevile kwa wale wanaoamini katika reincarnation wanasema kuwa hicho ni retrievial of your past life kwamba maeneo yote uliyopita na matendo yote uliyofanya ambayo yalichujwa na sense ya saba na kwenda kuhifadhiwa kwenye sense ya nane yanajidhihirisha kila ukifika eneo husika au tendo husika!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja wataalamu wa mambo ya meditation waje kukufundisha nguvu ilizonazo na mambo unayoweza Kufanya kupitia hizo nguvu.
Cc Rakism, pasco
 
mie huwa nikikumbuka kuwa mtu fulani sijawasiliana naye hasa anayenihusu, itapita intavo ya dk kama tano hv mara nakuta simu inaiita au sms imeingia ya yule niliyekuwa namfikiria.

Hata kama huna namba yake mkuu?
 
Mi hadi nishazoea...

Familia yetu imejaa watu wanaoona mbele, hasa matukio yale mabaya mabaya tu!
 
Mi hadi nishazoea...

Familia yetu imejaa watu wanaoona mbele, hasa matukio yale mabaya mabaya tu!

Excel tafuta vitabu hivi - You can change your destiny/ how to change your destiny, Liao fan's four lessons na Analects:way and its power
 
Last edited by a moderator:
Excel tafuta vitabu hivi - You can change your destiny/ how to change your destiny, Liao fan's four lessons na Analects:way and its power

Asante sana mkuu... naanza sasa hivi kuvisaka online.

Please kama una soft copies unaweza kunigawia pia!
 
Asante sana mkuu... naanza sasa hivi kuvisaka online.

Please kama una soft copies unaweza kunigawia pia!

Kaka sina kwakweli nilirudi navyo zamani watu wakaniomba wasome wakasema navyo ila jaribu kufika mindu st upanga kuna temple pale nafikiri unaweza kupata au nikirudi nitajaribu kukuangalizia
 
kaka hata me uwa inanitokea wakati fulan, ila me uwa naota ndoto fulan ila inaweza kaa kawma miaka miwili au mmoja then ile situation inaokea kam movie fulan alafu nakumb uka hiki nimeawqah ota siku fulan, kazi nayo fanya leo niliwahi ota wakat fulan wakat napitia shida
 
basi tuko wengi mie huwa naona na kila mikisemacho kama utan vile huja kuwa kweli?
mfano naweza kuona labda mtu fulan atakuja af kweli yule mtu huwa anakuja ama tukio fulan litatokea na kweli linatokea. cha ajabu zaid ni kwamba nikiona tukio la hatari af nikisema kwa mtu ama nikikemea lile tukio huwa halitokei lkn nisipo lisema kwa mtu ama kukemea linatokea.
sijipend na huwa naonaga kama ni aina fulan ya utambuzi ambayo pia siipendi

Mm nikiona tukio fulan halafu nsiseme hutokea lakn nkiona na kusema hukoma. Nshawah mtablia mtu ushnd wa jambo na akapata. S mtu mmoja tu bali watu wengi, kama hyo haitosh mpenz wangu naweza mwambia unafanya kitu flan na eye husema ndio wakat hatupo pamoja au karbu mpaka anapatwa waswas na mm ananihs s mtu wa kawaida pengne n jn yaan na athrka sana kwan sometime ananiogopa kwa kuwa namuulza vtu vyenye ukwel bla yy kuniambia. Na naweza danganya kitu halafu kikantokea kam kilivyo. Nlshawah mshawsh rafk yangu amdanganye mtu ka.a amepata ajar hataweza kuonana nae Lakini baada ya siku kadhaa alipata ajr kwel. Sometime watu ambao wameshanijua kama nina uwezo fulan usio wa kawaida huwa wanankataza kuchangia jambo ikiwa wanapanga hasa niktaka kusema ktu negative na hcho wakipangacho.
 
bora wewe una plan b ya kukemea mimi hii hali siipendi na sina plan b. Nitajifunza kukemea

mdau: Hii ni kitu ya kawaida ingawa wengi wetu hawajui kwa nn.....
Kwanza tambua binadamu au mtu ana section 3
1.mwili....body
2.roho...sprit
3.nafsi.....soul
uwezo wa kisayansi u.
Naishia kwa mwili ndipo unaweza kuelewa na ku justify/proof
sprit na soul ni mtu mwingine anayeishi kwa mtu mwili.
Sprit and soul uelewa wao na utambuzi ni mkubwa kuliko mwili.
Sprit...iko connected na mungu
soul...iko connected na mwili.
Soul na sprit viko conne ted pamoja pia.
Kwa hiyo basi soul sometimes huujulisha mwili baadhi ya mambo aliyoyaona kabla hata ya kutokea.
Namalizia kwa kusema hivi hata kifo kinachokufa kwanza ni mwili then soul na sprit itategemea viendelee kuishi pamoja au vitengane.....
 
Back
Top Bottom